Kigamboni: Watuhumiwa kutandaza mabomba na kuiba mafuta yanayoenda bandarini

Nakuelewa Sana ,tena asiguswe ,analipa Kodi za Halali ,ametoa ajira Kwa watanzania
 
Nakuelewa Sana ,tena asiguswe ,analipa Kodi za Halali ,ametoa ajira Kwa watanzania
Kabisa, kabisa kabisa tuwache kwani wanaweza kukimbia nchi na kufunga biashara...Hii mbaya Sana kwa hakika...
 
Kuna wezi wafanyabiashara na kuna wanasiasa majambazi ambao hutumia madaraka yao aidha kufanya unyang'anyi ama hulinda wezi huku wakipora mali za wengine na HAPA NDIPO TOFAUTI ILIPO BAINA YA WAFANYABIASHARA WANAOTAKIWA NA NCHI NA WALE WANAOSHIRIKIANA NA WANASIASA KUIIBIA NCHI HUKU WAKILINDWA.
 
Kabisa, kabisa kabisa tuwache kwani wanaweza kukimbia nchi na kufunga biashara...Hii mbaya Sana kwa hakika...
Ukitaka kuwa "win" maskini onesha "unawachukia matajiri!!" Ukitaka kupendwa na mahasidi "... waruhusu wavunje sheria!!" Ukitaka kuonekana mwema "pita njiani ukinunua majogoo na kutapanya fedha za umma huku ukijisifia kutetea wanyonge waliopanga biashara zao barabarani pasipo kujali usalama wa maisha yao wala afya za walaji wa bidhaa zao!!"
 

Soma hapa

Wahusika wote wakamatwe, akiwemo mmiliki wa hiyo nyumba na wenye hayo malori kama yanavyoonekana hapo kampuni ya LAKE OIL.
 
Hayo mengine Mimi binafsi siyajui ...nasema nchi imefunguliwa kwani ilikuwa imefungwa . Hakuna kubambikia kesi watu...Kodi zilipwe kwa hiari kwani sisi tunawahitaji wafanyabishara...tunaingiza juice kutoka Kenya na maziwa pia ...na ngano pia...wafanyabishara wetu wachangamke..
 
Wapare wanasema kuruka ruka hakusaidii matako yapoe baada ya kipigo cha mboko.

Magu ameenda[emoji106], tunataka kuona maisha yakiboreka sasa.
Otherways, hizi tabia za kumtaja kila sehemu ni dalili ya kushindwa tayari.
 
Acha wivu wa kike mkuu. Hata wakikamatwa you won't gain or lose anything. Kama wewe ni masikini utabaki kuwa masikini tu.
 
Mnashituka Nini mbona kipindi Cha uchaguzi ndio wapiga debe wenu
 
Wanapopeleka wataje watasaidia
Chukueni shell zote zilizohusika

Mzee wa Bamdari ndiokaisha hapohawamwachii
 
Ni lini Juice, viberiti, njiti za kuchokolea meno, viliacha kutoka huko unakokutaja? Samahani hivi la saba ulimaliza lini?
 
Ni lini Juice, viberiti, njiti za kuchokolea meno, viliacha kutoka huko unakokutaja? Samahani hivi la saba ulimaliza lini?
La Saba nilimaliza miaka 15 iliyopita...hivyo ulivyovitaja Baadhi vinatoka huko ila makubaliano mengine yamefanyika ili tuendelee kupata vingine...tumefungua nchi jamani, au hamjui?!...
 
1954 mkuu unabariki wizi?
Hapana sibariki wizi...kinachochanyika Sasa siyo wizi ...ni biashara...tunawahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko wanavyotuhitaji sisi...nchi imefunguliwa...tunafanya biashara...tunahitaji wawekezaji ...na bidhaa Kama juice...pia tunahitaji ajira. Zikiwemo za ukorokoni...au mwenzangu unaelewa vipi...
 
Acha wivu wa kike mkuu. Hata wakikamatwa you won't gain or lose anything. Kama wewe ni masikini utabaki kuwa masikini tu.
Sijawahi kukutana na jitu jinga kama wewe, umekurupuka usingizini? Au hangover ya vile vipombe vya chupa za plastic? Shame on you!!!

Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kukutana na jitu jinga kama wewe, umekurupuka usingizini? Au hangover ya vile vipombe vya chupa za plastic? Shame on you!!!

Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
Pombe zote zilizofungwa kwenye plastiki sio nzuri 🤓🤓🤓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…