#COVID19 Kigeugeu cha CCM: Leo wasema Chanjo ni bora kuliko Nyungu

#COVID19 Kigeugeu cha CCM: Leo wasema Chanjo ni bora kuliko Nyungu

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wonders shall never end ndio ninachoweza kusema, Wana CCM waliuaminisha uma wa watanzania kuwa nyungu, malimao na tangawizi vinatibu Corona.

Kheri Gwajima ameamua kusimamia msimamo ule waliokubaliana enzi za John Pombe Magufuli kuwa chanjo hazifai.

Wanafiki na wachumia tumbo wanatumia kauli ya Gwajima waliokubaliana wakati ule kuwa chanjo ni tatizo, Na wazungu hawatupendi hivyo hakuna kitu cha bure toka kwa beberu.

Mimi Gussie ni mwana CCM na nilishapigwa chanjo ya Pfizer kwa ajili ya korona, Na amini Katika sayansi toka kwa madaktari.

Tetekuwanga watu walipiga chanjo utotoni lakini bado kuna watu wazima wanaumwa, Je Tuache chanjo ya Tetekuwanga kwa kuwa baadhi wanapata ukubwani?

Wana siasa Waache kuingilia taaluma za afya. Wengine elimu zao ni za hapa na pale, Hiyo taaluma ya afya wametoa wapi?

Dkt Faustine Ndugulile aliposimamia taaluma ya udaktari kuwa kufukiza ni shida akatumbuliwa na wana ccm walishangilia.

Hakika Dunia ni duara na sio tambarare, ukizunguka unarudi pale pale kwenye sayansi.

Kuna muda inabidi uruhusu kichwa chako kifanye kazi ya kufikiria mambo na sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mizigo mingine na kujitoa ufahamu.
 
Wonders shall never end ndio ninachoweza kusema, Wana CCM waliuaminisha uma wa watanzania kuwa nyungu, malimao na tangawizi vinatibu Co....... oooona

Kheri Gwajima ameamua kusimamia msimamo ule waliokubaliana enzi za John Pombe Magufuli kuwa chanjo hazifai

Wanafiki na wachumia tumbo wanatumia kauli ya Gwajima waliokubaliana wakati ule kuwa chanjo ni tatizo, Na wazungu hawatupendi hivyo hakuna kitu cha bure toka kwa beberu

Mimi Gussie ni mwana CCM na nilishapigwa chanjo ya Pfizer kwa ajili ya korona, Na amini Katika sayansi toka kwa madaktari

Tetekuwanga watu walipiga chanjo utotoni lakini bado kuna watu wazima wanaumwa, Je Tuache chanjo ya Tetekuwanga kwa kuwa baadhi wanapata ukubwani?

Wana siasa Waache kuingilia taaluma za afya. Wengine elimu zao ni za hapa na pale, Hiyo taaluma ya afya wametoa wapi?

Dkt Faustine Ndugulile aliposimamia taaluma ya udaktari kuwa kufukiza ni shida akatumbuliwa na wana ccm walishangilia

Hakika Dunia ni duara na sio tambarare, ukizunguka unarudi pale pale kwenye sayansi

Kuna muda inabidi uruhusu kichwa chako kifanye kazi ya kufikiria mambo na sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mizigo mwingine na kujitoa ufahamu
Wapinzani kupitia chadema walituaminisha kuwa Tanzania hakuna mtu mweny misimamo thabiti asieyumbishwa na mweny kusimamia anachoamini kama Lisu. Ila cha kushangaza Lisu huyu huyu mwaka 2015 alilambishwa matapishi yake na mwenyekiti wake hadi kupelekea kupoteza sifa zake za kusimamia anachokiamini, na kuwa msimamizi wa tumbo lake. Kibaya zaidi na deki kapigishwa barabarani ili Lowasa apite. Njaa haina baunsa ndugu yang, jiamini mwenyewe sio hawa wanasiasa uchwara.

images (7).jpeg


images (12).jpeg


images (11).jpeg


images (10).jpeg
 
Dawa ni kucheza beat la DJ..beat ya dj sasa ni kuwa ugonjwa upo na dawa yake ni chanjo.
 
yaani ukiwa ccm akili zako zote unamkabidhi mwenyekiti wewe unabaki tu na box lilichojaa makamasi.
 
Akili zako ukiwa ccm lazima uchimbe shimo uzifukie ili uweze kutembea bila akili.
 
  • ukipata chanjo unaweza kupata corona? Ndio[emoji3581]
  • ukipata chanjo unaweza pia kufa kwa corona? Ndio[emoji3581]

Sasa kwa nini upate chanjo?
 
Miamala hoyeeeee , naona ajenda imekuwa mfu kwa kukamatwa kwa gaidi mkuu mbowe ambaye alimuua pia mzee wa chattle , kweli mbowe kiboko yaani kafanikiwa kuua lile jamaa lilikua linatembea na batalion nzima ya jeshi, aisee afungwe tu si kwa weledi huo kwenye ugaidi
 
Wanazidi kuchafua Legacy ya Mwendazake! Hii haikubaliki.
 
  • ukipata chanjo unaweza kupata corona? Ndio[emoji3581]
  • ukipata chanjo unaweza pia kufa kwa corona? Ndio[emoji3581]

Sasa kwa nini upate chanjo?
Ukivaa condom bado unaweza pata UKIMWI....??? NDIO
Ukiweka chandarua bado unaweza pata malaria? NDIO

Kwanini sasa Vyandarua na Condom zisipigwe marufuku?
 
Ukivaa condom bado unaweza pata UKIMWI....??? NDIO
Ukiweka chandarua bado unaweza pata malaria? NDIO

Kwanini sasa Vyandarua na Condom zisipigwe marufuku?
Ukikosea matumizi ya condom na chandarua lazima upate madhara, vipi kwa chanjo?
 
Wonders shall never end ndio ninachoweza kusema, Wana CCM waliuaminisha uma wa watanzania kuwa nyungu, malimao na tangawizi vinatibu Corona.

Kheri Gwajima ameamua kusimamia msimamo ule waliokubaliana enzi za John Pombe Magufuli kuwa chanjo hazifai.

Wanafiki na wachumia tumbo wanatumia kauli ya Gwajima waliokubaliana wakati ule kuwa chanjo ni tatizo, Na wazungu hawatupendi hivyo hakuna kitu cha bure toka kwa beberu.

Mimi Gussie ni mwana CCM na nilishapigwa chanjo ya Pfizer kwa ajili ya korona, Na amini Katika sayansi toka kwa madaktari.

Tetekuwanga watu walipiga chanjo utotoni lakini bado kuna watu wazima wanaumwa, Je Tuache chanjo ya Tetekuwanga kwa kuwa baadhi wanapata ukubwani?

Wana siasa Waache kuingilia taaluma za afya. Wengine elimu zao ni za hapa na pale, Hiyo taaluma ya afya wametoa wapi?

Dkt Faustine Ndugulile aliposimamia taaluma ya udaktari kuwa kufukiza ni shida akatumbuliwa na wana ccm walishangilia.

Hakika Dunia ni duara na sio tambarare, ukizunguka unarudi pale pale kwenye sayansi.

Kuna muda inabidi uruhusu kichwa chako kifanye kazi ya kufikiria mambo na sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mizigo mingine na kujitoa ufahamu.
Msimamao wao mwanzo walituaminisha kuwa nyungu ndo tiba na walimuunga mkono mwendazake leo hii kuna rais mpya wanatwambia tuchanjwe na wanamuponda gwajiboy hakika kaa mbali na wachumia tumbo na njaaa zao ni hatari kwa taifa letu
 
Wonders shall never end ndio ninachoweza kusema, Wana CCM waliuaminisha uma wa watanzania kuwa nyungu, malimao na tangawizi vinatibu Corona.

Kheri Gwajima ameamua kusimamia msimamo ule waliokubaliana enzi za John Pombe Magufuli kuwa chanjo hazifai.

Wanafiki na wachumia tumbo wanatumia kauli ya Gwajima waliokubaliana wakati ule kuwa chanjo ni tatizo, Na wazungu hawatupendi hivyo hakuna kitu cha bure toka kwa beberu.

Mimi Gussie ni mwana CCM na nilishapigwa chanjo ya Pfizer kwa ajili ya korona, Na amini Katika sayansi toka kwa madaktari.

Tetekuwanga watu walipiga chanjo utotoni lakini bado kuna watu wazima wanaumwa, Je Tuache chanjo ya Tetekuwanga kwa kuwa baadhi wanapata ukubwani?

Wana siasa Waache kuingilia taaluma za afya. Wengine elimu zao ni za hapa na pale, Hiyo taaluma ya afya wametoa wapi?

Dkt Faustine Ndugulile aliposimamia taaluma ya udaktari kuwa kufukiza ni shida akatumbuliwa na wana ccm walishangilia.

Hakika Dunia ni duara na sio tambarare, ukizunguka unarudi pale pale kwenye sayansi.

Kuna muda inabidi uruhusu kichwa chako kifanye kazi ya kufikiria mambo na sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mizigo mingine na kujitoa ufahamu.
Hao ni mataga wana njaa mpk kichwani wao kila kitu wanasapoti ili mradi mkono uende kinywani hao ni hatar sana kwa taifa letu
 
Wonders shall never end ndio ninachoweza kusema, Wana CCM waliuaminisha uma wa watanzania kuwa nyungu, malimao na tangawizi vinatibu Corona.

Kheri Gwajima ameamua kusimamia msimamo ule waliokubaliana enzi za John Pombe Magufuli kuwa chanjo hazifai.

Wanafiki na wachumia tumbo wanatumia kauli ya Gwajima waliokubaliana wakati ule kuwa chanjo ni tatizo, Na wazungu hawatupendi hivyo hakuna kitu cha bure toka kwa beberu.

Mimi Gussie ni mwana CCM na nilishapigwa chanjo ya Pfizer kwa ajili ya korona, Na amini Katika sayansi toka kwa madaktari.

Tetekuwanga watu walipiga chanjo utotoni lakini bado kuna watu wazima wanaumwa, Je Tuache chanjo ya Tetekuwanga kwa kuwa baadhi wanapata ukubwani?

Wana siasa Waache kuingilia taaluma za afya. Wengine elimu zao ni za hapa na pale, Hiyo taaluma ya afya wametoa wapi?

Dkt Faustine Ndugulile aliposimamia taaluma ya udaktari kuwa kufukiza ni shida akatumbuliwa na wana ccm walishangilia.

Hakika Dunia ni duara na sio tambarare, ukizunguka unarudi pale pale kwenye sayansi.

Kuna muda inabidi uruhusu kichwa chako kifanye kazi ya kufikiria mambo na sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mizigo mingine na kujitoa ufahamu.
Dancing according with the rhythm pamoja na degree za unafiki wa viongozi wengi umeisahau?
 
Kuna mtego mwingine utawekwa watasema Katiba ni kipao mbele siku si nyingi.
Lile dege halikuja hivi hivi lini mambo.
 
Wonders shall never end ndio ninachoweza kusema, Wana CCM waliuaminisha uma wa watanzania kuwa nyungu, malimao na tangawizi vinatibu Corona.

Kheri Gwajima ameamua kusimamia msimamo ule waliokubaliana enzi za John Pombe Magufuli kuwa chanjo hazifai.

Wanafiki na wachumia tumbo wanatumia kauli ya Gwajima waliokubaliana wakati ule kuwa chanjo ni tatizo, Na wazungu hawatupendi hivyo hakuna kitu cha bure toka kwa beberu.

Mimi Gussie ni mwana CCM na nilishapigwa chanjo ya Pfizer kwa ajili ya korona, Na amini Katika sayansi toka kwa madaktari.

Tetekuwanga watu walipiga chanjo utotoni lakini bado kuna watu wazima wanaumwa, Je Tuache chanjo ya Tetekuwanga kwa kuwa baadhi wanapata ukubwani?

Wana siasa Waache kuingilia taaluma za afya. Wengine elimu zao ni za hapa na pale, Hiyo taaluma ya afya wametoa wapi?

Dkt Faustine Ndugulile aliposimamia taaluma ya udaktari kuwa kufukiza ni shida akatumbuliwa na wana ccm walishangilia.

Hakika Dunia ni duara na sio tambarare, ukizunguka unarudi pale pale kwenye sayansi.

Kuna muda inabidi uruhusu kichwa chako kifanye kazi ya kufikiria mambo na sio kukibeba kichwa juu ya mabega kama mizigo mingine na kujitoa ufahamu.
Hata leo Samia akigeuza watageuka tena. Hawa watu kama misukule😅😅
 
Back
Top Bottom