Kigeugeu cha Joseph Msukuma, Sophia Simba na Nchimbi

Kigeugeu cha Joseph Msukuma, Sophia Simba na Nchimbi

VUTA-NKUVUTE vipi waliokua mbele kutuaminisha kua lowassa fisadi leo wamegeuka wanamkumbatia.
Na vipi waliokuwa waliokuwa wanamlinda na kumtetea kwa nguvu zote na leo wanataka kutuaminisha kuwa ni fisadi??
 
Mwaka wa mabadiliko tutasikia mengi na kuona mengi ila Mungu anakwenda kutenda nchi inakwenda kupata kiongozi tunayemuhitaji kutokana na kura zetu
 
Hata Sumaye Mr. Zero alisema wakimpitisha EL kugombea Uraisi anahama chama nadhani umeelewa kilichotokea. Baada ya kupitishwa Magufuli kiboko cha Mafisadi ikabidi atimke mbio anaijua vyema kazi ya Magufuli
 
Sasa naona mashudu yanazidi. Je mnaushahidi tukiwaweka lockup sasa mnaweza kujinasua kwa vielelezo. Acheni kutukana watu. Mtu mwenyewe unayetukana kuwa zero mwenzako wewe hujajichunguza kama uko poa.
 
Umesahau kuwa wafanyabiashara za kifisadi wamemkimbia Tingatinga Magufuli na sasa wapo na fisadi mwenzao UKAWA?UKAWA sasa ndio chama cha mafisadi hao.


Chagua TingaTinga Magufuli,huyu ndio kiboko yao,Mwaka huu wataisoma namba.
Mzee wa push up akiacha kuwanadi Mama Tibaijuka na Bw Chenge katika harakati zao za kutetea viti vyao vya ubunge, hapo nitaamini hiyo propoganda yenu kuwa ni kiboko ya mafisadi. Vinginevyo, hizi zitabikia kuwa propoganda kongwe za chama kikongwe
 
Alisema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=4CFDwaH3EPM Halafu, akasema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=gU29hxl-e9Y. Unajua kwanini? Ngoja niwaambie. Joseph Msukuma, Mwenyekiti wa CCM Geita na mgombea wa Ubunge hukohuko Geita ni mfanyabiashara.

Baada ya Joseph Msukuma kujiweka mbele kama mtetezi wa Lowassa na hata kuendelea kumsupport Lowassa hata alipobaki CCM, CCM ikautumia mkono wa chuma. Ikambana kwenye biashara zake. Kupitia TRA.Msukuma hakulipa kodi kwa miaka takribani saba. Aliachwa kwakuwa ni wa CCM. Alipoleta za kuleta akabanwa. Mabilioni ya kodi yakamshinda kulipa na kuamua kujisalimisha.

Msukuma si wa kuaminika kama alivyo Sophia Simba na Emmanuel Nchimbi. Sophia Simba 'alisusiwa' msiba wa nduguye na kuogopa. Akajisalimisha. Nchimbi naye akaogopa kupoteza alivyovichuma akiwa CCM. Akafyata mkia. Ni hao pamoja na Adam Kimbisa ndiyo waliojitokeza hadharani kupinga maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM. Hawaaminiki. Lakini, hawa wamekuwa wanachama wa CCM kwa woga tu. Mioyoni mwao wameshahama.

Hiyo ndiyo CCM yetu ilikofika. Kuwa na wanachama wa kuwalazimisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

We si ulisema jana wanakwenda kwenye Press conference Bahari beach kwenye "Toroka uje" yenu aliyoandaliwa na mafisadi akina Karamagi! Sasa unalialia nini? Mtu ukiwa muongo usiwe msahaulifu! Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwaunga mkono mafisadi, Mtasubiri sana wapinzani.
 
wewe mzee mwenzangu naona huko jikoni mambo bado ni mengi ya kutupakulia...endelea mpaka kieleweke!
 
Alisema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=4CFDwaH3EPM Halafu, akasema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=gU29hxl-e9Y. Unajua kwanini? Ngoja niwaambie. Joseph Msukuma, Mwenyekiti wa CCM Geita na mgombea wa Ubunge hukohuko Geita ni mfanyabiashara.

Baada ya Joseph Msukuma kujiweka mbele kama mtetezi wa Lowassa na hata kuendelea kumsupport Lowassa hata alipobaki CCM, CCM ikautumia mkono wa chuma. Ikambana kwenye biashara zake. Kupitia TRA.Msukuma hakulipa kodi kwa miaka takribani saba. Aliachwa kwakuwa ni wa CCM. Alipoleta za kuleta akabanwa. Mabilioni ya kodi yakamshinda kulipa na kuamua kujisalimisha.

Msukuma si wa kuaminika kama alivyo Sophia Simba na Emmanuel Nchimbi. Sophia Simba 'alisusiwa' msiba wa nduguye na kuogopa. Akajisalimisha. Nchimbi naye akaogopa kupoteza alivyovichuma akiwa CCM. Akafyata mkia. Ni hao pamoja na Adam Kimbisa ndiyo waliojitokeza hadharani kupinga maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM. Hawaaminiki. Lakini, hawa wamekuwa wanachama wa CCM kwa woga tu. Mioyoni mwao wameshahama.

Hiyo ndiyo CCM yetu ilikofika. Kuwa na wanachama wa kuwalazimisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mzee umechemsha!
 
Msukuma alishatajwa sana kwenye biashara za wale ndugu zetu tunaowapigania maisha yao bila mafanikio
 
Alisema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=4CFDwaH3EPM Halafu, akasema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=gU29hxl-e9Y. Unajua kwanini? Ngoja niwaambie. Joseph Msukuma, Mwenyekiti wa CCM Geita na mgombea wa Ubunge hukohuko Geita ni mfanyabiashara.

Baada ya Joseph Msukuma kujiweka mbele kama mtetezi wa Lowassa na hata kuendelea kumsupport Lowassa hata alipobaki CCM, CCM ikautumia mkono wa chuma. Ikambana kwenye biashara zake. Kupitia TRA.Msukuma hakulipa kodi kwa miaka takribani saba. Aliachwa kwakuwa ni wa CCM. Alipoleta za kuleta akabanwa. Mabilioni ya kodi yakamshinda kulipa na kuamua kujisalimisha.

Msukuma si wa kuaminika kama alivyo Sophia Simba na Emmanuel Nchimbi. Sophia Simba 'alisusiwa' msiba wa nduguye na kuogopa. Akajisalimisha. Nchimbi naye akaogopa kupoteza alivyovichuma akiwa CCM. Akafyata mkia. Ni hao pamoja na Adam Kimbisa ndiyo waliojitokeza hadharani kupinga maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM. Hawaaminiki. Lakini, hawa wamekuwa wanachama wa CCM kwa woga tu. Mioyoni mwao wameshahama.

Hiyo ndiyo CCM yetu ilikofika. Kuwa na wanachama wa kuwalazimisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Hata wewe mwenyewe una sifa zote za upopo ..una njaa sana zinakusumbua na ipo siku utashughulikiwa kwa kazi yako hii
 
Hisia zako tu zinakusumbua.
Au labda
kuna kilicho jificha nyuma yako.
 
Alisema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=4CFDwaH3EPM Halafu, akasema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=gU29hxl-e9Y. Unajua kwanini? Ngoja niwaambie. Joseph Msukuma, Mwenyekiti wa CCM Geita na mgombea wa Ubunge hukohuko Geita ni mfanyabiashara.

Baada ya Joseph Msukuma kujiweka mbele kama mtetezi wa Lowassa na hata kuendelea kumsupport Lowassa hata alipobaki CCM, CCM ikautumia mkono wa chuma. Ikambana kwenye biashara zake. Kupitia TRA.Msukuma hakulipa kodi kwa miaka takribani saba. Aliachwa kwakuwa ni wa CCM. Alipoleta za kuleta akabanwa. Mabilioni ya kodi yakamshinda kulipa na kuamua kujisalimisha.

Msukuma si wa kuaminika kama alivyo Sophia Simba na Emmanuel Nchimbi. Sophia Simba 'alisusiwa' msiba wa nduguye na kuogopa. Akajisalimisha. Nchimbi naye akaogopa kupoteza alivyovichuma akiwa CCM. Akafyata mkia. Ni hao pamoja na Adam Kimbisa ndiyo waliojitokeza hadharani kupinga maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM. Hawaaminiki. Lakini, hawa wamekuwa wanachama wa CCM kwa woga tu. Mioyoni mwao wameshahama.

Hiyo ndiyo CCM yetu ilikofika. Kuwa na wanachama wa kuwalazimisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
CCM ishakufa long time ago, mazishi tar.25 mwezi huu kwani we hujui?!!
 
Alisema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=4CFDwaH3EPM Halafu, akasema hivi:https://www.youtube.com/watch?v=gU29hxl-e9Y. Unajua kwanini? Ngoja niwaambie. Joseph Msukuma, Mwenyekiti wa CCM Geita na mgombea wa Ubunge hukohuko Geita ni mfanyabiashara.

Baada ya Joseph Msukuma kujiweka mbele kama mtetezi wa Lowassa na hata kuendelea kumsupport Lowassa hata alipobaki CCM, CCM ikautumia mkono wa chuma. Ikambana kwenye biashara zake. Kupitia TRA.Msukuma hakulipa kodi kwa miaka takribani saba. Aliachwa kwakuwa ni wa CCM. Alipoleta za kuleta akabanwa. Mabilioni ya kodi yakamshinda kulipa na kuamua kujisalimisha.

Msukuma si wa kuaminika kama alivyo Sophia Simba na Emmanuel Nchimbi. Sophia Simba 'alisusiwa' msiba wa nduguye na kuogopa. Akajisalimisha. Nchimbi naye akaogopa kupoteza alivyovichuma akiwa CCM. Akafyata mkia. Ni hao pamoja na Adam Kimbisa ndiyo waliojitokeza hadharani kupinga maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM. Hawaaminiki. Lakini, hawa wamekuwa wanachama wa CCM kwa woga tu. Mioyoni mwao wameshahama.

Hiyo ndiyo CCM yetu ilikofika. Kuwa na wanachama wa kuwalazimisha!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

kaaa na ujinga wako nani kakwambia msukuma anagombea ubunge usituletee taarifa za magazetn apa wapelekee wajinga wenzako
 
Back
Top Bottom