mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Habari za muda huu.
Msimu wa 2019/2020 ,Simba walimsajili Onyango na Yanga wakamsajili Mwamnyeto.
Mashabiki wa Simba walidai kuwa Mwamnyeto alikuwa dhaifu na alifichiwa madhaifu na AME , viongozi wakapambana haraka Ame akasajiliwa ili kupigia mstari hoja zao.
Yanga wakadai Onyango ni mzee.
Miaka miwili baadae Kuna tetesi za Simba kumtaka Mwamnyeto na Yanga kumtaka Onyango Tena mashabiki wameanza kuwapamba kwa maneno mazuri.
Hawa majamaa hawana tamaduni za kusifiana Ila huwa wanazodoana na Mambo yakibadilika kidogo hugeuka uadui mkubwa sana.refer kaseja na simba
Msimu wa 2019/2020 ,Simba walimsajili Onyango na Yanga wakamsajili Mwamnyeto.
Mashabiki wa Simba walidai kuwa Mwamnyeto alikuwa dhaifu na alifichiwa madhaifu na AME , viongozi wakapambana haraka Ame akasajiliwa ili kupigia mstari hoja zao.
Yanga wakadai Onyango ni mzee.
Miaka miwili baadae Kuna tetesi za Simba kumtaka Mwamnyeto na Yanga kumtaka Onyango Tena mashabiki wameanza kuwapamba kwa maneno mazuri.
Hawa majamaa hawana tamaduni za kusifiana Ila huwa wanazodoana na Mambo yakibadilika kidogo hugeuka uadui mkubwa sana.refer kaseja na simba