Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Wakristo mara nyingi wamekuwa wakijifanya wasomi.
Wanaenda mbali zaidi kwa kuwadharau waislamu kwamba ni 'wazee wa mdarasa' hawana elimu.
Cha ajabu usomi wao upo mdomoni tu huku nchi ikizidi kufubaa na wao wasomi wakiangalia tu.
Suala ni namna masheikh wanavyopatikana hizi nyingine ni blahblahMimi nilisoma sharia zote nikienda nchi zinazotumia sharia naweza kuwa kama mtu wa masters ila hii nimesoma kwa ajili ya kutatua mambo ya mazingira na wala sio sifa .
Ina maana ni fully package kweny familia yangu hata mtu akifa fasta najua mirathi na hatua nyingine za kumuhifadhi ila sina cheti...wanaonijua hata baadhi ya wakristo tushatatua migogoro yao despite ya yote msikitini tunaoswali mjini kuna wakurugenzi wakubwa ila tunaaongozwa sala na wafanya usafi na walinzi maana hawa ndo wanawahi kufika sisi tunachelewa ,tunaunga sala.
Na elimu ni pana sana na huwaga wengi wanaanza kusoma madrasa miaka 4 mapema sana.
Kwenye ukristo kuna vyuo vya theology.
Nasubiri jibu.
kama unashindwa kujua hata alichokiacha huyo unaemwita rc mbobezi basi wewe bado sana huijui historia ya taifa hiliOh Tate nanee,,wabwanga tushikamane.
Hao wanaosoma miaka 10 nawafananisha na msafiri anayepita nyikani Toka mwanzo wa safari mpaka anafika Hajawahi geuka nyuma.
Hao waliokaa miaka 10 darasani,Sasa hivi wanazurura na waraka madhabauni ilihali wakijua au la tatizo ni Katiba.Yaani wamekaa darasani ila tatizo hawalijui.
Mvua inanyesha inapeleka maji baharini Kisha mnaagiza mafuta ya alizeti Toka Uikrane,,,miaka 10 darasani imewasaidia Nini?
Awamu ya kwanza mlikua na RC mbobezi,Taifa mmelisaidia Nini?
Anaweza basi?Jibu swali mufti
Hii Miaka 10 mnayopitia wenzetu athari yake ni nini kwenye jamii,mbona haionekani ?Sasa kama hao Masheikh wanajikita kwenye elimu ya dini pekee, hayo maarifa kuhusu elimu dunia huwa wanayapata wapi?
Ifikie wakati muwaige Wakatoliki. Kabla ya kufikia hatua ya upadre, lazima usome siyo chini ya miaka 10!
Na katika miaka yote hiyo, utafanyishwa mitihani ya elimu dunia, na ile ya elimu ya dini! Na mitihani yote ni ile yenye mchujo! Yaani ukifeli wastani wao, unafukuzwa. Na lengo ni kuhakikisha huwi Padre Kilaza.
Sasa nyinyi ndugu zetu! Dah!! Mnasikitisha sana kwa kweli. 🙁 Yaani ukiimudu tu elimu ya dini, unakuwa Sheikh!!
ASKALI ndio nini?KADIRI UNAVYOKUWA NA MAJINI MENGI NDIVYO UNAVYOKUWA NA VYEO.
KAMA NYOTA BEJI KWA ASKALI.
Mmeifikisha wapi nchi na usomi wenu?Ofcourse ni wasomi kweli. Record zinaonyesha na isitoshe muundo wa dini huwez kuwa kiongozi kama hujasoma kweli kweli
Mmeifikisha wapi nchi na usomi wenu?
Mikataba yote mibovu nchi inaangaika nayo kwa sababu ya usomi wenu uchwara.
Neno shekhe sio cheo ni mtu yeyote aliye muumini, hata wewe unaweza kuitwa shekheWakuu ni katika kujifunza bila ukomo.
Mimi na wenzangu wasiojua, tunaomba kujuzwa vigezo vya mtu kuwa shehe. Nyongeza; kunakuwa na kiwango cha elimu yeyote ya kidunia au ni elimu ya dini tu?
yeyote anaweza kuwa sheikh.....Wakuu ni katika kujifunza bila ukomo.
Mimi na wenzangu wasiojua, tunaomba kujuzwa vigezo vya mtu kuwa shehe. Nyongeza; kunakuwa na kiwango cha elimu yeyote ya kidunia au ni elimu ya dini tu?
Si mnajisifia nyie mmesoma na serikalini mmejazana au huko serikalini wapo waislamu ambao hawajasoma?Kanisa ndio linaongoza serikali?
Walaumu viongozi husika, kanisa halina dhamana ya kuongoza nchi
Nyie si ndio mmeanza yaani unaacha kuangalia ndugu zako unakimbilia kuangalia sisi au uonyeshwe kejele?Waislam walioishika dini yao huwa ni wastaarabu sana. Si rahisi kumkuta anaunanga ukristo namna hiyo tena kwa mabaya lukuki.
Huwa naangali sana Mahaasin Tv hasa mawaidha, huwa hawana ujinga wa namna hii.
Ila huko mitandaoni naonaga clips za baadhi ya hotuba wanawadis viongozi wa dini wa kikristo waziwazi na kwa kuwataja majina kabisa, hii sio sawa kabisa. Wakati uislam unajitosheleza kabisa bila kuunanga au kuusema vibaya ukristo, hata hao mashekhe wabobevu wengi husema usemeni wema wa uislam na sio kuisema dini nyingine na kujenga chuki na sio urafiki.
Watu kama wewe ndio hufanya uislam uonekane ni ugaidi, chuki ya wazi, maneno ya kejeli na vijembe.
Kila muislam ni kiongozi WA nani Sasa ,maana wote hawezi kuwa viongozi watakasa WA kuwaongozaKila muislamu ni kiongozi hilo la kwanza.
Uislamu hauendeshwi na matamko ya mtu kama vikundi vyenu vya ngoma sijui TEC ,mtu yeyote anaweza kuswalisha ,kufungisha ndoa ,kutoa mawaisha kikubwa awe anajua.
Uislamu unamuandaa binadamu awe independent na sio kwenda kutubu dhambi kwa binadamu mwenzio..
Uislamu umesititiza elimu zote yaani ya mazingira na akhera ,pia uislamu haupi cheo mtu cha elimu bali anapewa uwezo wa kuwa khalifah(kiongozi) kuanzia ngazi ya familia na kweny jamii hususani mwanaume.
Utoaji wa fatwaah katika uislamu kutoa maamuzi ni kufanya marejeo ya mafunzo ya kidini bila kuongeza mambo kwa matamanio ya mtu.
Uislamu ni sheria kamili na shehe (shekhe) hata wewe unaweza kuitwa shekhe ina maana uislamu elimu inabaki kumsaidia mtu binafsi na sio kudhoofisha na kushia watu wengine akili.
Kwanza Usheikh hausomewi, hapa ndipo Wakristo walipo kwama, yaani mnapenda kusoma Upadri, mara hivi mara vile.Wakuu ni katika kujifunza bila ukomo.
Mimi na wenzangu wasiojua, tunaomba kujuzwa vigezo vya mtu kuwa shehe. Nyongeza; kunakuwa na kiwango cha elimu yeyote ya kidunia au ni elimu ya dini tu?
Hawa watu sijui wanawapataje unakuta reasoning ya kawaida tu ni shida.......ila hawana mifumo mizuri kuwapata masheikh, na hata kama wanae bas hawawafanyii recruitment nzuri!
Ukishaweza tu kufafanua alama zilizopo kwenye logo ya taasisi kubwa ulimwenguni we ni sheikh namaanisha mfano akiangalia ile nembo ya arsenal akishaweza kuona ila gun ukifafanua we ni sheikh mkubwa tu.
Ukiweza kushawishi waumini kwamba IMF ukiisoma from end to start ni freemason international, ukiweza kufafanua shangilia ya Cristiano Ronaldo ww cyo mtoto wa mkulima ww ni sheikh mkubwa Afrika mashariki na Kati, ukiweza kuelezea nembo ya MOSSAD, CIA, M16 kaka we ni ulamaaa kbs