Kigogo: "Gambo Amenifurahisha Sana Kwa Kumuumbua Kiongozi wa Mkoa Mfanya Matamasha ya kula nyama wakati Jiji halina Stendi."

Matusi ni dalili ya mtu aliyeshindwa hoja
RC ndiye anayesaini mikataba na wakandarasi au ndiye anayewezesha upatikanaji wa pesa ya mradi ? haya mambo ungemuuliza Mama yenu anayemtumiaga Makonda kuchamba wapinzani wake ndani ya chama ! wewe na Makonda waote ni misukule ya Mama .. na wala msigeukane..
 
Hakuna mkataba umesainiwa ,yeye ndio Mtendaji Mkuu wa Mkoa na msimamizi Mkuu wa maendeleo.

Aeleze stendi Iko wapi? Kwa nini haije gwi?
 
Wewe unachuki na makonda. Ni utapeli wako ndiyo unakuponza. Makonda ana muda Gani Arusha? Stendi ya Arusha ilianza kuzungumuzwa hata magufuli jembe Bado yupo hai. Walikuwa na mgogoro. Makonda anatoa wapi pesa ya kujenga stendi bila wizara ya fedha? Wewe ni mjinga unayekaribia kufa. Jinga kabisa
 
Wapi mada imemtaja RC? Mbona mna wenge?
 
Wapi nimemtaja Makonda kwenye mada hapo Juu?
 
Ndiyo wajenge sasa waache mambo ya matamsha na anasa

Ova
Mzee wa Kino katika hili namtetea Makonda. Matamasha yake hayana athari zozote kwa ujenzi wa Stendi. Mkwamishaji wa stendi kujengwa ni huyohuyo Gambo na wanasiasa wenzake ndani ya Arusha. Akiwa RC alihamisha sehemu ya kujengea stendi iliyopitishwa na kupeleka sehemu nyingine. Ukawa ni mzozo. Gambo anachofanya ni kutafuta sifa za kisiasa. Nampongeza Makonda kuwa mjanja na kutojiingiza kwenye hili jambo kichwa kichwa.
 
Hiyo Gambo ndo mkwamishaji mkuu wa huo mradi toka mwanzo. Acha kumsifia bila sababu.
 
Mwaka mzima hana majibu ya kuleta kuhusu stendi ila ana majibu ya kutukana wenzie Akidai anapiga spana au?
bibi chura ana majini yepi miaka 5?
ununuzi magoli simba na yanga
kwa mamilioni ya pesa
ina maana amemaliza
kufanya maendeleo yote?
mbona wanafunzi wanakaa chini?
 
Ni wakati sasa kusimamia hizo changamoto ambazo zimekuwa zikiletwa na hao madiwani . Kiongozi makini ni yule anayeweza kuondoa chagamoto
 
bibi chura ana majini yepi miaka 5?
ununuzi magoli simba na yanga
kwa mamilioni ya pesa
ina maana amemaliza
kufanya maendeleo yote?
mbona wanafunzi wanakaa chini?
Hapo Arusha anajenga uwanja Mpya piruuu,anajenga mabarabafa Kila sehemu,amewaletea maji,amewaletea mapesa ya utalii, na Mikutano,amewakarabatia uwanja wa Ndege kule kisongo , kwenye mashule ndio usiseme,Afya ndio kabisaa kiufupi bila Samia Arusha ilishajifia awamu ya 5.

Big zaidi amewalipa watu wa Monduli fidia kupisha mradi mkubwa wa magadi soda,ilishindikana Toka uhuru ila Samia ameweza.

Una swali jingine kuhusu Samia? Hiyo ni summary tuu.
 
Hapo mzigo uko kwa Gambo siyo Makonda!
Gambo amekuwa DC then RC wa mkoa wa Arusha! Anamlaumuje Makonda wakati ni RC kama yeye alivyokuwa RC? Kilichomshinda Gambo wakati akiwa RC kwa Arusha,Makonda hawezi kukifanya kwa muda mfupi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…