Yoso
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 954
- 1,417
RC ndiye anayesaini mikataba na wakandarasi au ndiye anayewezesha upatikanaji wa pesa ya mradi ? haya mambo ungemuuliza Mama yenu anayemtumiaga Makonda kuchamba wapinzani wake ndani ya chama ! wewe na Makonda waote ni misukule ya Mama .. na wala msigeukane..Matusi ni dalili ya mtu aliyeshindwa hoja