Kigogo mzito serikalini shoga

Kigogo mzito serikalini shoga

Kweli hii ni home of great thinkers, ila humu kina watu wana act kama lower thinkers mambulula kupokea vitu bila kufikiri, tumia akili yako na yakuambia mtadanganywa mpaka lini na huyu ms..ng.. shigongo


sema wewe mkuu
 
Mbona hapeleki hao OFM pale Atrimus kwake pale.

Kama kaanza kuchafua hadhi za watu hiyo. OFM yake .itamtokea puani..

Huwa natamani kuwapiga makonzi mapunguani wansosoma mikaratasi yake ya rangi rangi
 
anafira sana vijana na wake za watu halafu anajifanya mtumish wa mungu, wakati ni mzinzi , anajifanya anahukumu watu yeye mungu? Watu wakianika yake atafurahi? Ms*ng* sana huyu

sema hakiyamungu!!
 
uyo dogo kalipwa pesa aseme hivyo watu wauze gazeti ,njaa hizi mbaya zinazalilisha kama ni kweli mbona awakumpeleka polis kama pro kap
 
uyo dogo kalipwa pesa aseme hivyo watu wauze gazeti ,njaa hizi mbaya zinazalilisha kama ni kweli mbona awakumpeleka polis kama pro kap

ushasikia kigogo binamu, sasa kama hawamtaji wanatupa pumba ili iweje, wenyewe c wanafichua maovu wamfichue, naona wamemis Tindikali na msitu wa mabopande
 
Kwanini wadau wengi mnasema dogo ndo anagongwa?mbona habari inaonyesha dogo ndo anamgonga kigogo,kwani anashindwa nn kumpumulia?
 
Kwanini wadau wengi mnasema dogo ndo anagongwa?mbona habari inaonyesha dogo ndo anamgonga kigogo,kwani anashindwa nn kumpumulia?

soma vizuri mkuu!katika mawasiliano yao, Kuna sehem dogo anaitwa Mke na Huyo kigogo kuitwa mume
 
Ingekuwa Rwanda,

hili gazeti na management yake lingekuwa limewekwa kati tayari..

wamepewa uhuru wa vyombo vya habari, sasa kwanini habari imung'unywe?
 
ahaaaa!!!

basi sawa, aendelee tu kugongwa!

kwani katangaza ili tuhudhurie ndoa ama tumtatulie matatizo yake ya kifamilia na mumewe kigogo??

wivu mm-baya jamani! ----- m-seingey sana ---- hata aibu hakana, uso mkavuuuu -- eti ''nagongwa na kigogo''!!

ngoja inchi 16 ikija kukuingia siku moja ukaenda chooni mara 12 mfululizo kwa nusu saa, ndo utajua tamu na chungu!!!

hivi mashoga yakifa huwa watu wanalia kweli msibani?
 
ahaaaa!!!

basi sawa, aendelee tu kugongwa!

kwani katangaza ili tuhudhurie ndoa ama tumtatulie matatizo yake ya kifamilia na mumewe kigogo??

wivu mm-baya jamani! ----- m-seingey sana ---- hata aibu hakana, uso mkavuuuu -- eti ''nagongwa na kigogo''!!

ngoja inchi 16 ikija kukuingia siku moja ukaenda chooni mara 12 mfululizo kwa nusu saa, ndo utajua tamu na chungu!!!

hivi mashoga yakifa huwa watu wanalia kweli msibani?

ndio wanalia ila kila mtu atakuwa na sababu zake za kumlilia
 
Viongozi wenye msafara ni Rais na makamu wake na waziri mkuu.

Nikiweka chujio Rais hapana,PM hapana pia....sasa....?

Cooked story.....
 
Haihitaji digrii kugundua sababu za hiyo habari....na kama kweli kungekuwa na Kigogo (na kama wametajiwa) basi kamwe wasingethubutu kutoa picha wala jina la huyo wa upande wa pili (yaani huyo dogo hapo).

Ingawa wengi mmekimbilia kumtusi Shigongo na timu yake lakini mie naona tu nao wanatumia fursa ya kuwa na wanainchi "watanzania".......jamii inayoamini ujinga wowote wa kuambiwa bila kushirikisha akili.

Mimi namuona huyu dogo ni jamii ile ile ya wale waliokutana na tume ya kina Lembeli walioituhumu kampeni ya tokomeza......kwamba eti waliambiwa wafanye mapenzi na mti.....

Sijui yanapewa pesa kuja kupotezea watu muda wao ?.....STUPID....
 
Back
Top Bottom