Kigogo sio mtu wa kumuita Tundu Lissu mshamba, akemewe

Kwani Katiba ni swala la Chadema? Mama kasema swala la katiba apewe muda kidogo sisi wengine tumemuelewa ila Mbowe kashindwa kumuelewa anavuna alichopanda
 
weraweraaaaa! Wamegeukana. Mfyuuuuuuu!
 
UGAIDI hautawaacha salama-mchoma nyumba yenu moto- jitazameni.
 
huyo kigogo2014 kama anajiamini atoke hadharani asijifiche nyuma ya keyboard 😎
 
Mie nilishamuona mpuuzi na hayawani siku nyingi sana. Niliwashangaa mnaomshabikia!
 
Lissu kama angekuwa IQ kubwa asingeunga mkono suala la kijana wetu DIAMOND ambalo chadema iliishia KUAIBIKA,
Asingeuingia mkenge wa MAKANIKIA suala ambalo liligusa moja kwa moja kwenye taaluma yake.
LISSU ana IQ ya kawaida sana,ila kama una IQ ndogo ndio utaona ana IQ kubwa
 
TOO LATE,,KWANI AMETENGEZA CHUKI HADI MAGUFURI HADI AKAUWAWA,,HUKU AKINA SSH WAKIMUAHIDI VYEO ,SAAA HATA VYEO AMEKOSWA NA CAHEDMA HAWAMUUNGI MKONO WAMEBAKI KUBANANA..HADI WANAANZA KUMKUMBUKA MAGUFURI
Vema ukarudi MEMKWA huenda ukaeleweka!
 
Rudi shule maana unawaabisha walimu wako!
 
Kigogo alijua watu wangemuunga mkono kumtukana Lissu,Alichokiambulia naona kabadili upepo na kuanza kuandika maneno ya kutaka huruma,The guy huwa analewa sana sifa na yupo overrated.
 
Mzee hujui hata kuandika parandesi ya fungu la sentensi mbalimbali iliyokamilika na kuleta maana halafu unasema Lissu ana IQ ndogo?

Pangilia sentensi zako kwanza ndio uje na hoja sasa!
Najua hajanielewa ila narudia tena
LISSU ana IQ ya kawaida sana ila kama IQ yako ni ndogo ndio utaona LISSU ana IQ kubwa.
Habari za sijui parandesi sijui sentensi mi siandiki INSHA hapa
 
Unataka upinzani wa aina gani?.Hebu tupe mifano.maana sidhani kama mbowe ana mihemko yoyote zaidi ya kuongea straight kitu ambacho wenye madaraka hawakitaki kwasababu hawana tena uwezo wakujibu hoja kwa hoja ndo maana unaona hizi nguvu zikitumika.Vinginevyo labda unataka upinzani kama wa kina mrema na lipumba ambao haupati misukosuko kwa serikali kwasababu hanaga hoja kinzani na serikali.kama ni hivyo huo unakua tena sio upinzani na nchi inakua haina maana yakua na upinzani.
 
Wewe sema una chuki binafsi na mbowe maana sioni kama una hoja yoyote ya maana.Hiyo cdm unayosema iliufyata kipindi cha magu ni ipi na kesi unazozizungumzia zilitokea kipindi gani kama sio kipindi cha magu.Kipindi cha magu ndio kipindi cdm walikua na wakati mgumu lakini chama kilipambana hadi sasa kipo na ata sasa chama kitatoboa maana haya yanayotokea sasa sio mapya duniani dhidi ya upinzani.Kwahiyo usijifanye cdm ndo inafufuka baada ya samia kua rais wakati cdm haijawai kufa wala kulala.
 
Kwani hiyo katiba ni kwa ajili ya Chadema?.Mbona kama unawatupia cdm lawama wakati mchakato ulikua chini ya serikali ya chama cha mapinduzi.Hoja ya chadema kuhusu katiba mpya ni hoja kama hoja zingine zinazoweza kutolewa wakati wowote kwasababu ata wakikaa kimya hawana kitakachopungua maishani.Lakini kwasababu ni hoja za maendeleo ya nchi na wenyewe ni platform kuna shida gani ikichokoza hoja la uhitaji wa katiba mpya.mambo mengine peleka lawama kwa Ccm nasio cdm maana hadi hapa cdm imefanya mambo mengi sana ya msingi kama chama.
 

Kesi ya ugaidi nayo utakuwa umeisahau ungeendelea kuiunganisha humo kwenye legacy kabambe ya SSH.
 
Najua hajanielewa ila narudia tena
LISSU ana IQ ya kawaida sana ila kama IQ yako ni ndogo ndio utaona LISSU ana IQ kubwa.
Habari za sijui parandesi sijui sentensi mi siandiki INSHA hapa

Kwa hiyo mwenye IQ kubwa kuliko Lissu ni wewe mkuu?
 
gigabyte niletee hapa jibu au kauli ya KIFEDHULI yeyote ambayo Mbowe ambayo Mbowe amewahi kutamka au kuandika dhidi ya Magufuli. Leta clip tuione.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…