mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Unajidanganya,kigogo ana IQ kubwa kuliko LISSUKigogo anadhani ana IQ than all the people in this republic
Cha ajabu brain for brain Lissu kamuacha mbali sana
Nothing Kigogo can do to change that maana hii biological trait mtu anazaliwa na ubongo mkubwa
Hoja for hoja,brain for brain,Kigogo kavuliwa nguo left and right....
This nigga should actually know his lane otherwise anaonekana kichaa kabisa
Lissu's brain shuttered this motherfvcker kabisa....
Tundu lissu niliachana nae kwenye makinikia, anaongea na kubadilika kama kinyonga, ameng'ang'ana kuhojiwa kwenye TV sijui yana msaidia nini, unatakiwa uwe mtu wa viendo zaidi kuliko maneno meeeeengi with zero actions, yeye ni mtu wa tuhuma tuhuma with zero solutions.Hajakosea chochote Kigogo ametathmini siasa za chadema na kuona ni za kishamba sana, Chadema wanajidai wana watu milioni 7 hadi 8 wameshindwa kuonyesha nguvu yao kwa kiongozi wao mkuu ambaye yupo magerezani kwa propaganda, Lakini Tundu Lissu amesahau siku aliporudi pale Airpot Mbowe alikuja kumpokea kwa magongo leo unabaki nje na kurusha rusha maneno kupitia clip za mitandaoni kuliko kuja kuangalia namna yeye na wanachama wa Chadema kuonyesha nguvu ya pamoja kumtoa Mwenyekiti wao magerezani.,
Juzi nimemsikia hata shangazi Fatma Karume akimtusi Tundu lissu kwa kumwambia hana adabu wala heshima., yote haya ni kwa sababu Chadema ni chama dhaifu sana, chadema wanashindwa ni hata watu laki tatu kule Zanzibar, Tundu Lissu anaporoja kila leo chadema ndio chama kikuu cha upinzani kila leo lakini hatuoni ukuu wowote wa upinzani wao.
Nchi kama Tanzania ambayo imekubuhu kwenye udikteta haiwezi kujali chochote kwa vipindi anavyoandaa Tundu Lissu siju aljazeera na DW na sijui mikutano uchwara huko ulalaya, haiwezi kuathiri chochote kwa hawa watu it is good for nothing.,
Maalim seif hakuwahi kukimbia nchi kwa vyovote vile, Lissu anatakiwa arejee as soon as possible siasa za kiafrika ni mapambano ya ana kwa ana otherwise muache kujitangaza chadema ndio chama kikuu cha upinzani sijui muna wanachama milioni 8 for nothing.
What goes round comes round.Kigogo naye kapoteza relevance sikuhizi ni kushambulia tu watu
Zile trillion 500 za makinikia tulizoambiwa na mwendazake ziliishia wapi mkuu? 🤣 🤣 Kwenye jibu lake ndo utajua kati ya mwendazake na Lissu nani alikuwa na akili timamuTundu lissu niliachana nae kwenye makinikia, anaongea na kubadilika kama kinyonga, ameng'ang'ana kuhojiwa kwenye TV sijui yana msaidia nini, unatakiwa uwe mtu wa viendo zaidi kuliko maneno meeeeengi with zero actions, yeye ni mtu wa tuhuma tuhuma with zero solutions.
Nimescreenshot hii post,itafaa sana siku za mbeleniKigogo ni huyo February , Kwa sasa amehamisha mashambulizi Kwa Chadema sababu ameona biggest threat kwake ambaye alikuwa ni jiwe sasa hayupo na kuelekea 2025 atapiga U-turn yeye na watoto wa vigogo wa CCM, kujitaftia madaraka na kumpiga chini SSH , mda haujawahi kudanganya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kigogo na mange ni zaidi ya kamati kuu yao!Makamanda wamebaki wanashangaa hawajuhi la kufanya maana Kigogo ndiyo mshauri wao.
Leo hii umemgeuka?Kigogo anadhani ana IQ than all the people in this republic
Cha ajabu brain for brain Lissu kamuacha mbali sana
Nothing Kigogo can do to change that maana hii biological trait mtu anazaliwa na ubongo mkubwa
Hoja for hoja,brain for brain,Kigogo kavuliwa nguo left and right....
This nigga should actually know his lane otherwise anaonekana kichaa kabisa
Lissu's brain shuttered this motherfvcker kabisa....
Umeshaolewa na Tundu tayariNenda kaolewe naye!
Ukute hujawahi ata kuongoza Bata kumi taasisi Kama chadema wew unaipangia nnWewe ni mgeni na posts zangu. Tafuta humu post zangu za miaka 5 nyuma uone namna nilivyowapigania CDM na vyama vya UPINZANI dhidi ya udhalimu wa Mwendazake.
Tatizo ambalo mnakosea mnataka kuifanya pengine JF ni CHADEMA, yaani vile Mbowe na Lissu wanafanya UJINGA mnakaa kimya as if nyinyi ni BAVICHA au BAWACHA.
Kama Mbowe angekuwa anakubali ushauri na kukosolewa KAMWE asingeacha msiba kwenda Mwanza na yasingempata yaliyompata. Hana busara na ndiyo maana hata Kigogo anaonekana ni mpinzani wao kwa vile HAUNGI mkono mawazo ya KIJINGA ya LISSU
Kanda ya Ziwa ndiyo nini Bana?? Miaka 60 ya Uhuru imetoa Rais mmoja, usututishie nyau
Upinzani kama upinzaniUmenena jambo zito sana, mwenye akili na alikiri hilo.
Binafsi sijafurahishwa kabisa! Jamaa anajikuta yeye malaika yaani.Mshamba ni nani?
Mshamba ni yule anayejificha nyuma ya kibodi na kuwashambulia wengine au anapambana kwa kujitokeza na kuongea bila kupepesa macho kama Tundu Lissu anavyofanya?
Mshamba ni nani yule aliyeanza kupigania haki toka akiwa shule ya msingi, Sekondari, JKT na kuendelea au yule aliyeanza kujificha nyuma ya kibodi baada ya serikali kuvunja nyumba yake Kimara?
Mshamba ni yupi? Ambaye anaweza kumtukana kila mtu kisa tu kamkosoa au ni yule anayetumia hoja kujibu hoja za wale wote wanaomshambulia?.
Kuwablock watu wanaomkosoa kwenye post zake sio ushamba? Yaani mtu anapokukosoa ni adui yako wewe ni malaika Mbona Tundu Lissu hata Siro hajawai kumtukana ila uwa anamjibu kwa hoja?
Kwangu Mimi mshamba ni yule asiyejua anafanya nini, Anataka nini, Anapataje lini na wapi? Kumtukana kila mtu ni ushamba sana.
Imagine mtu anamtukana na kumzalilisha mtoto kama Zuchu au Nandy watu ambao hawaelewi maana ya siasa ni nini baada ya kuwapa elimu ya uraia wewe unatoka kuwatukana tu and you don't care!
Kwa taarifa Kigogo ni mtoto mdogo mno kwenye siasa za nchi hii harakati zako hazijafikisha hata miaka 10 wakati Tundu Lissu ameanza harakati miaka ya 1990 wewe jiulize ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini?
Kigogo awaulize waliokuwepo kwenye utawala wa Mkapa walivyopambana na Tundu Lissu na Lissu kushinda miaka huyo hata twitter ilikuwa hakuna.
Waulize waliojaribu kumhonga Tundu Lissu kwenye utawala wa Mkapa ili aache kuwatetea watu waliokuwa wanatolewa maeneo ya migodi kwa nguvu kwenye mikoa ya Shinyanga, Mpanda, Tabota, Geita, Mara na Kagera watakupa majibu.
Lissu angekuwa mshamba si angechukua tu pesa za wazungu na kuachana na kuwatetea wananchi?
Tundu lissu miaka yote amekuwa akifanya kazi field tena akiwa sambamba na mke wake akiwa front line kabisa nafikiri hata mwaka Jana alipokuja kufanya kampeni bado mliona alivyokuwa akisumbuana na Police kule Nyamongo na kwingine.
Sasa wewe ndugu yetu unamuita mtu mshamba ambaye yupo ulaya kwa kufanyiwa operation zaidi ya 25 baada ya kupigwa risasi halafu wewe upo ulaya nyuma ya kibodi.
Afadhari Lissu hata akifa leo Mungu akipenda historia ya Maisha yake tayari kashaimaliza historia aliyonayo ni kubwa mno.
Washamba ujificha, Washamba upanic, Washamba ujifanya wanajua kila kitu ili wasikosolewe, Washamba uzusha, hakika Washamba wakikosa ajenda ya kusimamia uwa wanaona kila binadamu ni adui wa maendeleo yao.
Wanaharakati wote duniani uwa hawapambani na mtu uwa wanapambana na mifumo, Jifunze kwa wanaharakati kama wakina Martin Luther King JR na wengine walipambana na mifumo na wakaja kushinda hata kama walikuwa hawapo tena.
Yaani unamtukana Tundu Lissu halafu unamsifia Mbowe? Wakati Mbowe na Tundu Lissu ufahamu hata walikutana vipi?
Kama wewe ni mwanamageuzi kweli njoo na I'd yako original na uje front line uongoze maandamano unayoyapigia kelele, njoo uanzishe chama ukiendeshe kiwe kikubwa kama angalau ACT.
Lissu mageuzi na mapambano aliyoyafanya yanatosha kabisa hata leo akistaafu siasa ila najiuliza kigogo ameshafanya kitu gani zaidi ya kutukana watu?
Mambo ya kuita watu washamba ni ushamba pia.
View attachment 1879158View attachment 1879160
Kwani Tundu Lissu siyo mshamba?Mshamba ni nani?
Mshamba ni yule anayejificha nyuma ya kibodi na kuwashambulia wengine au anapambana kwa kujitokeza na kuongea bila kupepesa macho kama Tundu Lissu anavyofanya?
Mshamba ni nani yule aliyeanza kupigania haki toka akiwa shule ya msingi, Sekondari, JKT na kuendelea au yule aliyeanza kujificha nyuma ya kibodi baada ya serikali kuvunja nyumba yake Kimara?
Mshamba ni yupi? Ambaye anaweza kumtukana kila mtu kisa tu kamkosoa au ni yule anayetumia hoja kujibu hoja za wale wote wanaomshambulia?.
Kuwablock watu wanaomkosoa kwenye post zake sio ushamba? Yaani mtu anapokukosoa ni adui yako wewe ni malaika Mbona Tundu Lissu hata Siro hajawai kumtukana ila uwa anamjibu kwa hoja?
Kwangu Mimi mshamba ni yule asiyejua anafanya nini, Anataka nini, Anapataje lini na wapi? Kumtukana kila mtu ni ushamba sana.
Imagine mtu anamtukana na kumzalilisha mtoto kama Zuchu au Nandy watu ambao hawaelewi maana ya siasa ni nini baada ya kuwapa elimu ya uraia wewe unatoka kuwatukana tu and you don't care!
Kwa taarifa Kigogo ni mtoto mdogo mno kwenye siasa za nchi hii harakati zako hazijafikisha hata miaka 10 wakati Tundu Lissu ameanza harakati miaka ya 1990 wewe jiulize ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini?
Kigogo awaulize waliokuwepo kwenye utawala wa Mkapa walivyopambana na Tundu Lissu na Lissu kushinda miaka huyo hata twitter ilikuwa hakuna.
Waulize waliojaribu kumhonga Tundu Lissu kwenye utawala wa Mkapa ili aache kuwatetea watu waliokuwa wanatolewa maeneo ya migodi kwa nguvu kwenye mikoa ya Shinyanga, Mpanda, Tabota, Geita, Mara na Kagera watakupa majibu.
Lissu angekuwa mshamba si angechukua tu pesa za wazungu na kuachana na kuwatetea wananchi?
Tundu lissu miaka yote amekuwa akifanya kazi field tena akiwa sambamba na mke wake akiwa front line kabisa nafikiri hata mwaka Jana alipokuja kufanya kampeni bado mliona alivyokuwa akisumbuana na Police kule Nyamongo na kwingine.
Sasa wewe ndugu yetu unamuita mtu mshamba ambaye yupo ulaya kwa kufanyiwa operation zaidi ya 25 baada ya kupigwa risasi halafu wewe upo ulaya nyuma ya kibodi.
Afadhari Lissu hata akifa leo Mungu akipenda historia ya Maisha yake tayari kashaimaliza historia aliyonayo ni kubwa mno.
Washamba ujificha, Washamba upanic, Washamba ujifanya wanajua kila kitu ili wasikosolewe, Washamba uzusha, hakika Washamba wakikosa ajenda ya kusimamia uwa wanaona kila binadamu ni adui wa maendeleo yao.
Wanaharakati wote duniani uwa hawapambani na mtu uwa wanapambana na mifumo, Jifunze kwa wanaharakati kama wakina Martin Luther King JR na wengine walipambana na mifumo na wakaja kushinda hata kama walikuwa hawapo tena.
Yaani unamtukana Tundu Lissu halafu unamsifia Mbowe? Wakati Mbowe na Tundu Lissu ufahamu hata walikutana vipi?
Kama wewe ni mwanamageuzi kweli njoo na I'd yako original na uje front line uongoze maandamano unayoyapigia kelele, njoo uanzishe chama ukiendeshe kiwe kikubwa kama angalau ACT.
Lissu mageuzi na mapambano aliyoyafanya yanatosha kabisa hata leo akistaafu siasa ila najiuliza kigogo ameshafanya kitu gani zaidi ya kutukana watu?
Mambo ya kuita watu washamba ni ushamba pia.
View attachment 1879158View attachment 1879160
Kwa mara ya kwanza kigogo ameongelea ukweli, Tundu Lissu si mshamba bali mpuuzi na mbinafsiMshamba ni nani?
Mshamba ni yule anayejificha nyuma ya kibodi na kuwashambulia wengine au anapambana kwa kujitokeza na kuongea bila kupepesa macho kama Tundu Lissu anavyofanya?
Mshamba ni nani yule aliyeanza kupigania haki toka akiwa shule ya msingi, Sekondari, JKT na kuendelea au yule aliyeanza kujificha nyuma ya kibodi baada ya serikali kuvunja nyumba yake Kimara?
Mshamba ni yupi? Ambaye anaweza kumtukana kila mtu kisa tu kamkosoa au ni yule anayetumia hoja kujibu hoja za wale wote wanaomshambulia?.
Kuwablock watu wanaomkosoa kwenye post zake sio ushamba? Yaani mtu anapokukosoa ni adui yako wewe ni malaika Mbona Tundu Lissu hata Siro hajawai kumtukana ila uwa anamjibu kwa hoja?
Kwangu Mimi mshamba ni yule asiyejua anafanya nini, Anataka nini, Anapataje lini na wapi? Kumtukana kila mtu ni ushamba sana.
Imagine mtu anamtukana na kumzalilisha mtoto kama Zuchu au Nandy watu ambao hawaelewi maana ya siasa ni nini baada ya kuwapa elimu ya uraia wewe unatoka kuwatukana tu and you don't care!
Kwa taarifa Kigogo ni mtoto mdogo mno kwenye siasa za nchi hii harakati zako hazijafikisha hata miaka 10 wakati Tundu Lissu ameanza harakati miaka ya 1990 wewe jiulize ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini?
Kigogo awaulize waliokuwepo kwenye utawala wa Mkapa walivyopambana na Tundu Lissu na Lissu kushinda miaka huyo hata twitter ilikuwa hakuna.
Waulize waliojaribu kumhonga Tundu Lissu kwenye utawala wa Mkapa ili aache kuwatetea watu waliokuwa wanatolewa maeneo ya migodi kwa nguvu kwenye mikoa ya Shinyanga, Mpanda, Tabota, Geita, Mara na Kagera watakupa majibu.
Lissu angekuwa mshamba si angechukua tu pesa za wazungu na kuachana na kuwatetea wananchi?
Tundu lissu miaka yote amekuwa akifanya kazi field tena akiwa sambamba na mke wake akiwa front line kabisa nafikiri hata mwaka Jana alipokuja kufanya kampeni bado mliona alivyokuwa akisumbuana na Police kule Nyamongo na kwingine.
Sasa wewe ndugu yetu unamuita mtu mshamba ambaye yupo ulaya kwa kufanyiwa operation zaidi ya 25 baada ya kupigwa risasi halafu wewe upo ulaya nyuma ya kibodi.
Afadhari Lissu hata akifa leo Mungu akipenda historia ya Maisha yake tayari kashaimaliza historia aliyonayo ni kubwa mno.
Washamba ujificha, Washamba upanic, Washamba ujifanya wanajua kila kitu ili wasikosolewe, Washamba uzusha, hakika Washamba wakikosa ajenda ya kusimamia uwa wanaona kila binadamu ni adui wa maendeleo yao.
Wanaharakati wote duniani uwa hawapambani na mtu uwa wanapambana na mifumo, Jifunze kwa wanaharakati kama wakina Martin Luther King JR na wengine walipambana na mifumo na wakaja kushinda hata kama walikuwa hawapo tena.
Yaani unamtukana Tundu Lissu halafu unamsifia Mbowe? Wakati Mbowe na Tundu Lissu ufahamu hata walikutana vipi?
Kama wewe ni mwanamageuzi kweli njoo na I'd yako original na uje front line uongoze maandamano unayoyapigia kelele, njoo uanzishe chama ukiendeshe kiwe kikubwa kama angalau ACT.
Lissu mageuzi na mapambano aliyoyafanya yanatosha kabisa hata leo akistaafu siasa ila najiuliza kigogo ameshafanya kitu gani zaidi ya kutukana watu?
Mambo ya kuita watu washamba ni ushamba pia.
View attachment 1879158View attachment 1879160
Mwanzo hakuwa akishambulia watu? Ama watu ni wale wa chadema tuKigogo naye kapoteza relevance sikuhizi ni kushambulia tu watu
Word....Could not be summed up better.Nasimama na Kigogo, katika siku 100 za kwanza CDM walikuwa ndiyo wanufaika wakuu wa uongozi wa Samia mpaka humu ndani kuna thread inasema "Je Samia ni CHADEMA".
Na wakamsifia kuwa anaupiga mwingi. Kama Mbowe angekuwa na busara kidogo alipaswa amu handle Rais SSH kwa namna alivyo. Yaani kama mtu ni brutal na wewe unakuwa brutal. Kama mtu ni muungwana unampinga kiungwana. Wame mu approach Mama kwa kiburi na dharau sana mpaka wanataka wampangie ratiba ya lini akutane na CDM.
Hiyo miscalculation imeirudisha CDM miaka 10, take it from me