Kigogo sio mtu wa kumuita Tundu Lissu mshamba, akemewe

Kigogo sio mtu wa kumuita Tundu Lissu mshamba, akemewe

Kigogo naona kapigwa spinning na raia kwa maneno yake ya kashfa saivi anafanya PR za Mo na matangazo ya biashara
 
Kwa hili nakwenda na Kigogo ....LISU NI MSHAMBA TU .. ANGEKUA NA UBAVU ANGEKUA TZ SASA HIVI KUMPIGANIA MBOWE. Benefits za ukimbizi zimemtia tamaa amabaki kupiga tararira kwenye media ambazo nazo response ni Zero. Lisu ni Kilaza aliechangamka.
 
Aisee jifunze Kiswahili sahihi na jinsi ya kuandika insha ukaeleweka na hadhira yako

Yaani you are shitting all over the place

KIla tunachoongea hapa ni subjective na popularity contest,wewe unampenda Kigogo,mimi nampenda Lissu,objectivity is outta window,heri kila mtu abaki na ushabiki wake!
Hapana mkuu! kazi ya jf ni pamoja na kuelimishana,hivyo siwezi kuvumilia kuona mtanzania mwenzangu ukimshabikia huyu LISSU, kwani utapotea.
Kuwa kwako chadema kusikupofue ubongo wako ukahisi LISSU ana akili nyingi kuliko wengine,au kila kitokacho kwa LISSU basi ukibebe kama kilivyo na kukiona cha ''kijiniazi''
Suala la ushabiki achana nalo,kama taifa tunahitaji facts.
 
Aisee jifunze Kiswahili sahihi na jinsi ya kuandika insha ukaeleweka na hadhira yako

Yaani you are shitting all over the place

KIla tunachoongea hapa ni subjective na popularity contest,wewe unampenda Kigogo,mimi nampenda Lissu,objectivity is outta window,heri kila mtu abaki na ushabiki wake!
Hapana mkuu! kazi ya jf ni pamoja na kuelimishana,hivyo siwezi kuvumilia kuona mtanzania mwenzangu ukimshabikia huyu LISSU, kwani utapotea.
Kuwa kwako chadema kusikupofue ubongo wako ukahisi LISSU ana akili nyingi kuliko wengine,au kila kitokacho kwa LISSU basi ukibebe kama kilivyo na kukiona cha ''kijiniazi''
Suala la ushabiki achana nalo,kama taifa tunahitaji facts.
 
Hapana mkuu! kazi ya jf ni pamoja na kuelimishana,hivyo siwezi kuvumilia kuona mtanzania mwenzangu ukimshabikia huyu LISSU, kwani utapotea.
Kuwa kwako chadema kusikupofue ubongo wako ukahisi LISSU ana akili nyingi kuliko wengine,au kila kitokacho kwa LISSU basi ukibebe kama kilivyo na kukiona cha ''kijiniazi''
Suala la ushabiki achana nalo,kama taifa tunahitaji facts.
Mambo mawili kuhusu Lissu nayakubali (1) Ni mbobezi wa Sheria za raslimali za madini ambaye hana mshindani Tanzania. (2) Alipigwa risasi na kikundi cha WASIOJULIKANA kilichokuwa chini ya Makonda kwa amri ya Magufuli. Na nalaani kittendo hicho kwa nguvu zote.

LAKINI
Tundu Lissu hana busara na haiba ya kuweza kuwa Rais wa Tanzania, hata kama aliibiwa kura na Mwendazake mwaka jana
 
Kwa hili nakwenda na Kigogo ....LISU NI MSHAMBA TU .. ANGEKUA NA UBAVU ANGEKUA TZ SASA HIVI KUMPIGANIA MBOWE. Benefits za ukimbizi zimemtia tamaa amabaki kupiga tararira kwenye media ambazo nazo response ni Zero. Lisu ni Kilaza aliechangamka.
vijana wa CCM bhuana 🤣 🤣 🤣
 
Mambo mawili kuhusu Lissu nayakubali (1) Ni mbobezi wa Sheria za raslimali za madini ambaye hana mshindani Tanzania. (2) Alipigwa risasi na kikundi cha WASIOJULIKANA kilichokuwa chini ya Makonda kwa amri ya Magufuli. Na nalaani kittendo hicho kwa nguvu zote.

LAKINI
Tundu Lissu hana busara na haiba ya kuweza kuwa Rais wa Tanzania, hata kama aliibiwa kura na Mwendazake mwaka jana
Kitu kingine ambacho LISSU anacho ni hakubali kushindwa.
Angejaliwa japo BUSARA kingemsaidia sana kwenye siasa.
Sasa kwa kuwa hana busara anajikuta
1>anapenda sana ubishi
2>anakosa uvumilivu kwa wenzie
3>anapenda mambo ya kukomoana
 
Kumshabikia Lissu kwamba nitapotea ni maoni yako ambayo ni valid kwako,ila sio valid kwangu

Yaani ni kama na mimi nikwambie kumshabikia Kigogo au CCM unapotea,yatakua ni maoni yangu valid kwangu lakini sio kwako

Naamini Lissu tangu aanze siasa 1997 mpaka leo hajawahi mpoteza opposition yeyote kwa utendaji wake na misimamo yake yenye uzito,na misimamo yake imefanya hadi akapigwa risasi 32,ungesema asingeongea tena ila amerudi na misimamo ile ile with higher force zaidi

Siwezi amini mwingine....wewe amini wengine tu,ni haki yako!

Still unatoa maoni binafsi

Ni kama mimi nitoe maoni hapa kua unapoiamini CCM kunakupofua,which ni maoni yangu wala sio msimamo wako

Kwangu mimi na wenzangu Lissu ka prove over and over again ana akili kuliko wanasiasa wenzake wengi tu hasa hasa walioko CCM

Its like eti Msukuma umuweke level moja na Lissu,thats abomination!

Ya bungeni,akiwa mtaani mpaka akapigwa risasi,akiwa mahakamani,etc Lissu kasha prove ni heavy weight...

Kigogo kote huko hajawahi tokea,yupo nyuma ya keyboard wakati Lissu physically kapambana na madikteta na serikali macho kwa macho,unfortunately walimshindwa kwa hoja wakaamua watumie bunduki maana hoja hawamuwezi!
Mkuu LISSU huyuhuyu ndiye aliisherehesha ''LIST OF SHAME'' na baadae akazunguka nchi nzima kumnadi LOWASA.
Yeye huyuhuyu ndiye alikiri mbele ya kamera kwamba Tanzania inahitaji raisi mwenye tabia za kidikteta(akimaanisha Kikwete ni dhaifu).
Kaja MAGUFULI,Lissu kaigeuka kauli yake.


Kumbuka LISSU ndiye aliropoka ''MAENDELEO YA WATU SIYO VITU'' tanzania nzima ilimshangaa.!!
Eti huyu ndiyo shujaa wako!!??

Sema LISSU ananufaika na uwepo wa wajinga wengi
 
List of Shame ni Dr Wilbroad Slaa........

Naona unamsingizia Lissu mambo mengi bila proof.....

Regardless List of Shame ni List of Shame....Mtu akiwa mchafu jana anaweza akawa msafi leo and vice versa

Tulipewa tuchague kati ya devils wawili....hapa tunatafuta lesser of a devil,Lowassa alikua lesser of a devil kuliko CCM and Magufuli

Huwezi pitisha judgement ya kipumbavu namna hiyo kwa sisi kuchagua a lesser devil in Lowassa sababu Magufuli and CCM were the biggest devils there,we had to choose!


Tatizo una literalism which is a big problem

Context is everything.....Rais dhaifu opposite yake sio dikteta,alimaanisha rais anae tekeleza vitu bila udhaifu,ndio context ya Lissu

Sio dikteta kama unavyodhani....

Dikteta kama dikteta ni kosa na hilo halitakiwi nchi yeyote,yeye alimaanisha "dikteta" kama rais anaetekeleza majukumu yake mpaka mwisho bila ulegelege

Sio dikteta wa kweli unaefikiria wewe kwenye literalism euphoria kwenye ubongo wako!

Context hapa is everything sio literalism uliyonayo!

Maendeleo ni ya Watu sio Vitu ndio,yupo sahihi

Wewe ndio haupo sahihi....

Lissu yupo sahihi kwa hili na tunamuamini....wewe na wenzako kama mnaona ni maendeleo ya vitu na sio watu ni sawa,endeleeni kunywa matope wakati mpumbavu mmoja ananunua bombadier cash

By the way hilo taahira la bombadier cash lilishakufwaaa wewe ndio umebakia na upumbavu wake aliowaachia

Wanaokubali thinking process ya Lissu ni wajinga ila wewe unaekubali thinking ya yule kilaza aliekufa na kuoza huko makaburini una akili?

Yaani hii power ya judgement unaitoa wapi wakati wote tupo level moja ya power?
Mkuu relax kidogo! Kipindi Dr Slaa anaichambua list of shame Lissu alikuwa wapi? Au unataka kukana Lissu hakumponda LOWASA!!??

Halafu usidanganye eti mlipewa machaguo mawili,MAGUFULI au LOWASA.
Kamati yenu ilikaa kuchagua atakayepeperusha bendera yenu.Mlikuwa na SLAA,MBOWE na LISSU(ambao siyo mashetani),ilikuaje mumpe LOWASA mlodai mchafu?
Kama LISSU ana akili nyingi ilikuaje asiwe na ushujaa wa kumkataa LOWASA


Hivi taifa linawezaje kusema lina maendeleo pasipokuwa na vitu!?
Hivi hivyo vichwa mnatumia KUROGEA au!?
Sasa ni dhahiri unathirika kiakili,na LISSU ndiyo chanzo


Suala la udikteta LISSU mwenyewe alifafanua tofauti na wewe unavyotetea.
Kwanza lazima utambue MAGUFULI hakuwa dikteta kama mnavyoaminishana ILA alikuwa kiongozi jasiri asiyeyumbishwa na mahasidi
 
TULIWAONYA KUWA...baada ya kusherekea kifo cha bwana yule mtafuata ninyi kwa kufarakana na kushughurikiwa na wale mnaowaona watetezi wenu, Alianza yule mvaa ushungi mzenjbar mlimpa kila sifa nzur na kusema anaupiga mwingi, mara ooh ameanza vzr na apend dhuruma, aliwashughulkia mpka mmeanza kumuita the first african woman dictator[emoji23][emoji23][emoji23] haijaishia hapo na Chair wenu akatiwa mbalon kwa kesi za ugaid msmbo hayajakwisha mmeanza tena kugombana na mtoa habari wenu toka vyanzo vya kuaminika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....Mpka mwaka huu unakwisha mtakuwa mmechoka sana, yaan mtachoka sana....ukwel mchungu sasa hiv hakuna mwenye unafuu, si mataga/sukums gang wala mabavicha, wote wanahemea mipira, bora yetu sie tuliogoma kushikwa na mahaba ya siasa,..poleni sana mtamaliza mwaka mmechoka sana, na bado[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kigogo anataka watanzania wapenda maguezi waanze harakati za kijasusi za kuwaondoa CCM mamlakani... Lissu anamwambia hana uzoefu wa uongozi hiyo si njia sahihi kwa nyakati hizi...

Lissu yupo sahihi...njia walizotumia wapigania uhuru wa nchi za Africa miaka 50 iliyopita unafikiri inaweza kufanya kazi karne hizi...

Why dont u use Information technology as a weapon....a tool which is very powerful these days than hiding yourself in the bush..kwanza mapori siku hizi hayapo.
 
Lissu kua mwanachama wa Chadema kipindi hicho haimaanishi kwamba yeye ndio aliandika

Unafanya assumptions na ku accuse people sababu tu walikua wamebeba kadi ya Chadema.

Lowassa alichaguliwa kupeperusha bendera,alipigiwa kura ndani ya chama,sio mtu mmoja alimpitisha

Let wapiga kura wachague,ndio democratic process...Wewe kumkataa sio wengine wanamkataa

Na hakuna mtu mmoja kwenye chama anaamua nani apite na nani asipite,ni kura,nyingi ndio zinapita

Lalamikia mfumo wa kidemokrasia sio una pin point mtu as if yeye ndio kapiga kura mwenyewe

Nyerere anakuambia Maendeleo ni Lazima yawe people's centred na sio vitu centred,kwahiyo Nyerere nae kichaa?

Maendeleo ni ya watu kwanza mfukoni,wapate chakula,tiba na elimu,basic needs zikishafikiwa ndio uende kununua bambadier cash

Tupo sahihi,wewe ndio haupo sahihi!

Magufuli hakua dikteta?

Mbona unakua muongo hivi and dishonest?

Unajua kabisa context aliyotoa Lissu sema unaleta unafiki na uongo,which really makes you look dishonest kabisa!

Magufuli alikua kiongozi wa hovyo,alikua na akili kidogo mno,muuaji,mvunja sheria za nchi,mgonjwa na alikufa na korona ,kashaoza huko makaburini,kamfate!

Another thing,unaandika kwa capitals which means you are shouting,thats offensive!
Soma post yako #279 halafu uone kama wewe na LISSU wako mna AKILI nzuri.
Ipo hivi,kabla ya uchaguzi mkuu 2015 vyama vya siasa vilikaa kuchagua nani atapeperusha bendera ya chama chake.

CCM ilimuengua LOWASA katika hatua za awali,wakati chadema walijichelewesha kutangaza wa kwao wakisubiri waone CCM watamsimamisha nani.

Unaposema mlipewa kuchagua ''lesser devil'' au the ''biggest devil'' una maana gani?
Kwani kabla ya ujio wa LOWASA kwenu tayari mlikuwa kwenye kikao chenu hivyo mngeweza kumchagua hata LISSU apeperushe bendera.
Unaposema LOWASA alipigiwa kura, alishindanishwa na nani?

Uchaguzi mkuu ulipofika kulikuwa na wagombea zaidi ya kumi wakiwemo MAGUFULI,LOWASA, DOVUTWA,RUNGWE,ANNA MGHWIRA(RIP) nk.
Sasa unasemaje ulipewa machaguo mawili tu ama lesser devil(Lowasa) au the biggest devil(ccm na Magufuli)?

List of shame nimesema LISSU alisherehesha na kushadadia(hakuna sehemu nimesema ameandika).
Na chadema iliwahi kukiri kuwa Lowasa HASAFISHIKI,kama mlijua hilo ilikuwaje mumpokee?

Unadai mimi ninashout kisa kuandika kwa capitals,Hapana mdogo wangu jaribu kufuatilia threads zangu utagundua.
Ila wewe ndio unashout kwani tayari umeshasema mara 'ameoza mfuate' mara pumbavu, mara niache nimshabikie LISSU na mengineyo kemkem yanayolandana na hayo.
 
Yaani wewe maiti ukisema mimi na Lissu hatuna akili basi ndio kweli hatuna akili kwasababu umesema wewe?

Wewe ni nani wa kupitisha hii judgement?

Vyama vya siasa and Lowassa and other blah blah blah ulizotoa hapo nobody cares..keep them in your butt!

Shitty post!
Matusi,kebehi, kuropoka, ujuaji na dharau ni sehemu ya maisha huko chadema tushazoea.Ila RELAX mkuu, hatugombani.
Na challenges huleta maendeleo na kuelimisha
 
Back
Top Bottom