Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 70
Nani kasema mashekh na wachungaji hawatendi dhambi? acha PCCB wafanye kazi yao kama wanamwonea itajulikana mahakamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakataa kulipa kodi ( kwa serikali) anakataa kutoa rushwa! Hana afadhali.Yote siyo mema.anaonewa kwa kuwa amekataa kutoa rushwa.huyu jamaa namfaham anamsimamo sana.zengwe tu hili.
Hata viongozi wa dini wanafanya makosa ila kwa kuwa mtu aliye juu ya sheria, sheria itachukua mkondo wake na ukweli utajulikana. Na hao wanaouza dawa za kulevya kama wapo watasakwa na mwisho wa siku watafikishwa wanakostahili kwa mkondo wa sheria pia.
anaonewa kwa kuwa amekataa kutoa rushwa.huyu jamaa namfaham anamsimamo sana.zengwe tu hili.