Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Ndio hivyo
Mhhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh
DuhHuyu ni Muuza Unga maarufu na wa muda mrefu.
Alianza kama punda wa Abbas Mwinyi (mtt wa Rais Mwinyi) ambae nae kabebesha sana vijana ngada.
Kijiwe kikuu cha mizigo ya Kanyau ni kwa mama mkwe wake pale nyuma ya Bamaga Petrol Station karibu na Kebbys Hotel panaitwa kwa Mama SEDI.
Kumbuka huyu binti SEDI ndie Mke wa DAUDI KANYAU.
Pale kwa mama SEDI muuzaji mkuu ni shemeji yake DAUDI KANYAU anaitwa CHALE (kaka yake SEDI) pamoja na Mama SEDI (mama mkwe) mwenyewe.
Vijana wote wabwia unga Mwenge na Kijitonyama huwa wanatiririka kama mvua hapa kwa mama SEDI kununua ngada.
Polisi wa kituo cha Mwenge na kituo kikubwa na Kijitonyama Mabatini wanakujaga hapo kwa mama SEDI kuchukua mgao wao.
Kuanzia mkuu wa kituo hadi Askari mdogo ana mgao wake.
Aisee swali zuri la ki uchaMungu kwa sababu MUNGU hapendi haramu. Aje sheikh mwenye elimu atoe fatwa tuelimikeSasa hyo misikiti itaendela kuswaliwa?
Mji mzito huu jemeni!Kuna clips huko inamuonyesha akimla Kajala! Duuu mujini hap kazi tunayo
Aisee embu itupie hapa hiyo clipKuna clips huko inamuonyesha akimla Kajala! Duuu mujini hap kazi tunayo
Mungu wa madawa ya kulevya lazima atakuwa mungu Mzungu..kwa kujenga misikiti ni balaa ona huu
![]()
SahihiMakaburi yafukuliwe tu
NomaAisee embu itupie hapa hiyo clip
Wakuu tupeni taarifa za huyu kingpin;Ni DAUDI KANYAU. Mali zake zashikiliwa.
![]()
![]()
Haya magazeti ya Ukweli na Uwazi si yale ya Shigongo?Wakuu tupeni taarifa za huyu kingpin;
mrangi
AMARII
Inside10
incharge
Bush Dokta
Isanga family
enzo1988
raraa reree
The Mongolian Savage
Stuxnet naona umenitag mkuu..ngoja wajuvi waje mie nilishahama mitaa ya kino na migomigo. Hadi niwacheki wadauHapa yupo na BASHITE south hivi majuziView attachment 1082838