Kigogo wa Madawa ya Kulevya (Daudi Kanyau) akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...

Kigogo wa Madawa ya Kulevya (Daudi Kanyau) akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...

Huyu ni Muuza Unga maarufu na wa muda mrefu.

Alianza kama punda wa Abbas Mwinyi (mtt wa Rais Mwinyi) ambae nae kabebesha sana vijana ngada.

Kijiwe kikuu cha mizigo ya Kanyau ni kwa mama mkwe wake pale nyuma ya Bamaga Petrol Station karibu na Kebbys Hotel panaitwa kwa Mama SEDI.

Kumbuka huyu binti SEDI ndie Mke wa DAUDI KANYAU.

Pale kwa mama SEDI muuzaji mkuu ni shemeji yake DAUDI KANYAU anaitwa CHALE (kaka yake SEDI) pamoja na Mama SEDI (mama mkwe) mwenyewe.

Vijana wote wabwia unga Mwenge na Kijitonyama huwa wanatiririka kama mvua hapa kwa mama SEDI kununua ngada.

Polisi wa kituo cha Mwenge na kituo kikubwa na Kijitonyama Mabatini wanakujaga hapo kwa mama SEDI kuchukua mgao wao.

Kuanzia mkuu wa kituo hadi Askari mdogo ana mgao wake.
Duh
 
kwa kujenga misikiti ni balaa ona huu
DSC_0018.JPG
Mungu wa madawa ya kulevya lazima atakuwa mungu Mzungu..
 
Back
Top Bottom