Kigogo wa Madawa ya Kulevya (Daudi Kanyau) akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...

Kigogo wa Madawa ya Kulevya (Daudi Kanyau) akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...

Huyu ni Muuza Unga maarufu na wa muda mrefu.

Alianza kama punda wa Abbas Mwinyi (mtt wa Rais Mwinyi) ambae nae kabebesha sana vijana ngada.

Kijiwe kikuu cha mizigo ya Kanyau ni kwa mama mkwe wake pale nyuma ya Bamaga Petrol Station karibu na Kebbys Hotel panaitwa kwa Mama SEDI.

Kumbuka huyu binti SEDI ndie Mke wa DAUDI KANYAU.

Pale kwa mama SEDI muuzaji mkuu ni shemeji yake DAUDI KANYAU anaitwa CHALE (kaka yake SEDI) pamoja na Mama SEDI (mama mkwe) mwenyewe.

Vijana wote wabwia unga Mwenge na Kijitonyama huwa wanatiririka kama mvua hapa kwa mama SEDI kununua ngada.

Polisi wa kituo cha Mwenge na kituo kikubwa na Kijitonyama Mabatini wanakujaga hapo kwa mama SEDI kuchukua mgao wao.

Kuanzia mkuu wa kituo hadi Askari mdogo ana mgao wake.
Wewe jamaa wewe Mungu anakuona!😵😵
 
Hapana mkuu, sijamaanisha hivyo!! Nimemaanisha kama alikuwa anajua mchezo mzima siku nyingi angewanyooshea vidole ili wahusika waache.
Mkuu..

Majirani na hapo kwa mama mkwe wa Kanyau wameshakwenda sana Polisi wakaja kujua kumbe polisi wana mgao wao.

Wakaja wakaenda serikali za mitaa.. Kama unavyojua serikali za mitaa zetu, wakaishia kutofanya kitu.

Lakini alipoingia Kitwanga kama Waziri wa Mambo ya Ndani kuna majirani navyosikia walijilipua wakampelekea taarifa maana pamekuwa kero kubwa kwa mtaa.

Mateja mamia kwa mamia wanajazana hapo kwa mama SEDI kila siku.

Nimesikia sikia kwamba CHALE ambae ndie muuzaji mkuu hapo kwa mama yake yupo ndani.
 
Huyu ni Muuza Unga maarufu na wa muda mrefu.

Alianza kama punda wa Abbas Mwinyi (mtt wa Rais Mwinyi) ambae nae kabebesha sana vijana ngada.

Kijiwe kikuu cha mizigo ya Kanyau ni kwa mama mkwe wake pale nyuma ya Bamaga Petrol Station karibu na Kebbys Hotel panaitwa kwa Mama SEDI.

Kumbuka huyu binti SEDI ndie Mke wa DAUDI KANYAU.

Pale kwa mama SEDI muuzaji mkuu ni shemeji yake DAUDI KANYAU anaitwa CHALE (kaka yake SEDI) pamoja na Mama SEDI (mama mkwe) mwenyewe.

Vijana wote wabwia unga Mwenge na Kijitonyama huwa wanatiririka kama mvua hapa kwa mama SEDI kununua ngada.

Polisi wa kituo cha Mwenge na kituo kikubwa na Kijitonyama Mabatini wanakujaga hapo kwa mama SEDI kuchukua mgao wao.

Kuanzia mkuu wa kituo hadi Askari mdogo ana mgao wake.
Jamani jamani.......yaani huyo mbweha hata hana huruma anawauwa watoto wa wenzake bila hata huruma jamani mjalaana mkubwa huyo na ni wa kumbaka mara sabini kisha kumlipua na risasi mara moja mbwa mtu huyo
 
Mkuu..

Majirani na hapo kwa mama mkwe wa Kanyau wameshakwenda sana Polisi wakaja kujua kumbe polisi wana mgao wao.

Wakaja wakaenda serikali za mitaa.. Kama unavyojua serikali za mitaa zetu, wakaishia kutofanya kitu.

Lakini alipoingia Kitwanga kama Waziri wa Mambo ya Ndani kuna majirani navyosikia walijilipua wakampelekea taarifa maana pamekuwa kero kubwa kwa mtaa.

Mateja mamia kwa mamia wanajazana hapo kwa mama SEDI kila siku.

Nimesikia sikia kwamba CHALE ambae ndie muuzaji mkuu hapo kwa mama yake yupo ndani.
Duuh hii kumbe ni hatari sana. Kama Kanyau kadakwa tayari na Chale naye yupo ndani nadhani utuliviu utakuwa umerejea sasa. Jamaa wanatesa sana na kuwamaliza ndugu zetu.
 
Huyu ni Muuza Unga maarufu na wa muda mrefu.

Alianza kama punda wa Abbas Mwinyi (mtt wa Rais Mwinyi) ambae nae kabebesha sana vijana ngada.

Kijiwe kikuu cha mizigo ya Kanyau ni kwa mama mkwe wake pale nyuma ya Bamaga Petrol Station karibu na Kebbys Hotel panaitwa kwa Mama SEDI.

Kumbuka huyu binti SEDI ndie Mke wa DAUDI KANYAU.

Pale kwa mama SEDI muuzaji mkuu ni shemeji yake DAUDI KANYAU anaitwa CHALE (kaka yake SEDI) pamoja na Mama SEDI (mama mkwe) mwenyewe.

Vijana wote wabwia unga Mwenge na Kijitonyama huwa wanatiririka kama mvua hapa kwa mama SEDI kununua ngada.

Polisi wa kituo cha Mwenge na kituo kikubwa na Kijitonyama Mabatini wanakujaga hapo kwa mama SEDI kuchukua mgao wao.

Kuanzia mkuu wa kituo hadi Askari mdogo ana mgao wake.
We ni noma mkuu
 
d279b7703cc0fef9cd52820b2cbd25d9.jpg

Mbona nasikia yuko South Africa anakula maisha huko

ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
 
Back
Top Bottom