ginnery
JF-Expert Member
- Nov 9, 2016
- 200
- 145
Kula tano mkuu mm nimekuelewa sn town kila mtu na life yake!Umbeya ni uswahili wa kipumbavu. Kuuza mishikaki ni kosa? Mada za kijuha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula tano mkuu mm nimekuelewa sn town kila mtu na life yake!Umbeya ni uswahili wa kipumbavu. Kuuza mishikaki ni kosa? Mada za kijuha!
Juzi kala mvua ya miaka 5 jela kwa ufisadi huyu CKHuyu jamaa kaonesha uanaume wa kweli, kushuka chini haimaanishi ukate tamaa.., ni kupambana tena kutoka chini hadi ufike juu
HapanaUshawahi kukaa jela hata wiki?
Usirudie Ku quote Uzi mrefu.karibuKweli naamini Wema ni balaaa. Ukiwa nazo unamchapa mpaka **** itakatika, ukiachana naye lazima utalostika kinoma kasoro domobaya tu kwa sababu anakingwa na jadi analoendekeza mama yake ya kiha (hirizi, **** ya kichanga, nywele za marehemu, etc.).
Angekua jambazi bado wambea wangeongea!!! Kaamua kujitafutia hela kihalali...
Ila nao wakome! Utapataje hela za mchezo ukaahindwa wekeza? Ata kununua nyumba ili upangishe...
Kupenda starehe tu!