Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
TAKUKURU Mkoa wa Kigoma imefungua shauri la Uhujumu Uchumi Na. ECC. 22/2022 katika Mahakama ya Wilaya ya Kibondo, Agosti 29, 2022 dhidi ya aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kata ya Nyaruboya, Boniface Balishimura Kibada.
Bw. Kibada anatuhumiwa kwa makosa ya Ufujaji na Ubadhirifu wa Fedha za Umma pamoja na Kuisababishia Serikali Hasara ya kiasi cha Tsh. 8,640,620/=.
Shauri limepangwa kuendelea kwa uwasilishwaji wa hoja za awali hapo tarehe 13/9/2022 na mshtakiwa yuko nje kwa dhamana.
Bw. Kibada anatuhumiwa kwa makosa ya Ufujaji na Ubadhirifu wa Fedha za Umma pamoja na Kuisababishia Serikali Hasara ya kiasi cha Tsh. 8,640,620/=.
Shauri limepangwa kuendelea kwa uwasilishwaji wa hoja za awali hapo tarehe 13/9/2022 na mshtakiwa yuko nje kwa dhamana.