The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Wana muungano eeeh
Tunaomba Mh. Raisi Samia aliangalie hili mara mbili yaani polisi kigoma wamemkamata muhalifu wa ujambazi na wanasema wamehifadhi jina lake.
Kuna uhalifu wa majambazi kuwapora abiria wa gari njiani uliotokea barabara ya kibondo kasalu, polisi wanasema wamehakiki tukio hilo kutokea na kusadikika ni abiria wa gari aina ya bus kampuni ya scorpion. Abiria waliporwa mizigo yao baada ya gari kuzuiliwa na magogo barabarani.
Licha ya yote polisi walifanikiwa kumnasa jambazi mmoja miongoni mwao walio husika na uhalifu lakini polisi wamesema jina la mtuhumiwa limehifadhiwa.
Now why wasitaje jina lake awajibishwe kama muhalifu.
Source ya taarifa ni ITV media wakuu.
Tunaomba Mh. Raisi Samia aliangalie hili mara mbili yaani polisi kigoma wamemkamata muhalifu wa ujambazi na wanasema wamehifadhi jina lake.
Kuna uhalifu wa majambazi kuwapora abiria wa gari njiani uliotokea barabara ya kibondo kasalu, polisi wanasema wamehakiki tukio hilo kutokea na kusadikika ni abiria wa gari aina ya bus kampuni ya scorpion. Abiria waliporwa mizigo yao baada ya gari kuzuiliwa na magogo barabarani.
Licha ya yote polisi walifanikiwa kumnasa jambazi mmoja miongoni mwao walio husika na uhalifu lakini polisi wamesema jina la mtuhumiwa limehifadhiwa.
Now why wasitaje jina lake awajibishwe kama muhalifu.
Source ya taarifa ni ITV media wakuu.