Kigoma JF users connect

Kigoma JF users connect

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Hey guys mko poa nyie......

Naanzisha uzi huu kwa ajili ya watu wa Kigoma pekeee. Kama unaishi kigoma au kwenu Kigoma lakini ukatoka basi tukutane hapaaaa!!!!!!

Kwa nia njema kabisa taja maeneo unayotokea mambo yawe mukidee haijalishi ni Kigoma mjini, Kasulu, Kibondo au Kigoma Vijijini.

Mimi Niko Ujiji
 
Hey guys mko poa nyie......
Naanzisha uzi huu kwa ajili ya watu wa Kigoma pekeee. Kama unaishi kigoma au kwenu kigoma lakini ukatoka basi tukutane hapaaaa!!!!!!
Kwa nia njema kabisa taja maeneo unayotokea mambo yawe mukidee haijalishi ni kigoma mjini, kasuru, kibondo au kigoma vijijini.
Mimi nianze, Napatikana juu ya stendi ya mkoa wa kigoma al maarufu Masanga but now sipo Kg nipo kwenye mihangaiko ya maisha.
Mihangaiko wapi? Mbinguni useme
Watu wa kigoma nanyi nyie[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mihangaiko wapi? Mbinguni useme
Watu wa kigoma nanyi nyie[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Fuata maelezo ya thread inavyosema sio unaanza kuni question whyyy
 
Hey guys mko poa nyie......
Naanzisha uzi huu kwa ajili ya watu wa Kigoma pekeee. Kama unaishi kigoma au kwenu kigoma lakini ukatoka basi tukutane hapaaaa!!!!!!
Kwa nia njema kabisa taja maeneo unayotokea mambo yawe mukidee haijalishi ni kigoma mjini, kasuru, kibondo au kigoma vijijini.
Mimi nianze, Napatikana juu ya stendi ya mkoa wa kigoma al maarufu Masanga but now sipo Kg nipo kwenye mihangaiko ya maisha.

Mkuu hebu badili hapa kwenye kasuru iwe Kasulu.

Kuna kijiwe wanaita kwa Mchaga unakifahamu?
 
Ulivyosema unakaa maeneo hayo nikajua lazima hicho kijiwe ukijue, maeneo yangu sana hayo.
Daaaah sikutegemea kua naww ni wahuku huku bro... karibu kuoga katosho
 
Nilijua anazungumzia kasulu kwa ww wa wap
Kigoma mjini nimekaa miaka sita naijua vizuri kuanzia
Mwanga
Mlole
Bangwe
Shede
Kibirizi
Ujiji
Maweni
Mji mwema
Masanga
Zungu beach
Lake Tanganyika beach
Stanley pub
Kibo park etc
Mimi nilikuwa naishi karibu na kituo cha watoto yatima cha sanganigwa karibu na msikiti Mkuu wa ijumaa pale mjini
 
Kigoma mjini nimekaa miaka sita naijua vizuri kuanzia
Mwanga
Mlole
Bangwe
Shede
Kibirizi
Ujiji
Maweni
Mji mwema
Masanga
Zungu beach
Lake Tanganyika beach
Stanley pub
Kibo park etc
Mimi nilikuwa naishi karibu na kituo cha watoto yatima cha salganigual karibu na msikiti Mkuu wa ijumaa pale mjini
Sijaiona gungu kwa wababe
Kahabwa
kabingo
Kikungu
East veta kwa maninjaz
etc
 
Back
Top Bottom