Kigoma JF users connect

Kigoma JF users connect

Ww hukutembelea maeneo ya GUNGU.
GUNGU ni sehem ambayo mwalimu nyerere aliibiwa ile fimbo aliyokua anatembea nayo akapalaani
Mbona gungu hakuna huo usela unao uzungumzia bro? Vijana wa gungu mbona washamba tu angalau ungesema wahuni wapo mwanga mitaa ya mwanga senta. Legeza mwendo simply mwanga yote ina wahuni kuliko sehem nyingine za mkoa wa kigoma

Labda gungu inasifika kwa uchawi
 
Mbona gungu hakuna huo usela unao uzungumzia bro? Vijana wa gungu mbona washamba tu angalau ungesema wahuni wapo mwanga mitaa ya mwanga senta. Legeza mwendo simply mwanga yote ina wahuni kuliko sehem nyingine za mkoa wa kigoma

Labda gungu inasifika kwa uchawi
kweli maeneo kama ya ujiji na gungu ni ndumba tu hakuna kingine
 
Unlike uwe wa huko na wew ila kama sio

Narudia tena USIOE KIGOMA
Wanawake wa ule mji wana amini sana katika ushirikina sana tena sana

Nina shuhuda kadhaa
kuhusu ushirikina hilo nimeshuhudia ata mm wakati niko kigoma ebu tupe huo ushuhuda wako mkuu
 
Mkuu hebu badili hapa kwenye kasuru iwe Kasulu.

Kuna kijiwe wanaita kwa Mchaga unakifahamu?
Hivi Raimundo wewe sio yule jamaa unayeuza mahindi ya kuchoma pale maeneo ya Kwa mchaga kabla ya kufika Ndaboine mbele kidogo ya Urusi asili?
 
Back
Top Bottom