Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ametembelea Hifadhi ya Taifa Gombe, mkoani Kigoma na kupata fursa ya kujionea vivutio mbalimbali vya utalii hususani wanyama adimu aina ya Sokwe Mtu.
Makamu wa Rais aliyeambatana na Mke wake Mama Mbonimpaye Mpango alipata wasaa wa kupanda mti pamoja na kuzungumza na watumishi wa Gombe.
Pascal Shelutete
SAC CC
TANAPA
28.1.2021
Makamu wa Rais aliyeambatana na Mke wake Mama Mbonimpaye Mpango alipata wasaa wa kupanda mti pamoja na kuzungumza na watumishi wa Gombe.
Pascal Shelutete
SAC CC
TANAPA
28.1.2021