Kigoma: Mganga wa Kienyeji afungwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka 8

Hivi ni kwanini watu wanategemea sana tiba mbadala?
hata za kawaida madaktari wanabaka wagonjwa wao rejea yule Dokta aliyembaka mama mjamzito.
tatizo ni Alkasusu ikishakolea kwenye Damu hamna control
 
Halafu Zitto hataki World Bank watuletee fedha za kuondoa Ujinga huu Kigoma
Nadhani una lako jambo na huyo Zitto. Kama unataka hayo manoti ya WB nenda kalambe viatu vyao utapata tu. Hapa tunamzungumzia mganga wa huko huko Kigoma kwenu aliyemlawiti mtoto wa kike wa miaka 8.
Huo mkopo ungesaidia nini hapo kigoma kwa mganga mjinga ka huyu?? Mbona hakumtamani mamake mtoto badala yake kamtuma wembe mbali ili amalize kiu yake???
Mganga angemtishia mamake kuwa kama havui nguo saa hiyo mtoto angemfia. Nadhani mambo yangekuwa verry
 
Mungu amlaze gereza LA bangwe salama....amiin.
Sifa mbaya kwa mkoa wangu Wa kigoma shenzi sana huyu pumbavu.
 
ANA LAANA ZOTE HUYO EDWARD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…