Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Nipo Kigoma mjini kikazi kwa wiki moja,
Naomba kufahamu ni wapi panafaa kuosha macho wakuu.
Pawe sehemu tulivu na iliyostaarabika na pa kupakuosha macho..
Hahaha najua nimeeleweka.
@
................MREJESHO............
Kigoma mjini miundo mbinu mizuri sana, lami sehemu zote muhimu
Mandhari ya mji ni nzuri, vilima na beaches tamu sana.
Mji una utulivu hauna pilika nyingi.
Kwa ujumla nimeufurahia mji hasa Kidiama beach.
View attachment 1891519View attachment 1891520View attachment 1891521View attachment 1891522View attachment 1891523View attachment 1891524
Naomba kufahamu ni wapi panafaa kuosha macho wakuu.
Pawe sehemu tulivu na iliyostaarabika na pa kupakuosha macho..
Hahaha najua nimeeleweka.
@
................MREJESHO............
Kigoma mjini miundo mbinu mizuri sana, lami sehemu zote muhimu
Mandhari ya mji ni nzuri, vilima na beaches tamu sana.
Mji una utulivu hauna pilika nyingi.
Kwa ujumla nimeufurahia mji hasa Kidiama beach.
View attachment 1891519View attachment 1891520View attachment 1891521View attachment 1891522View attachment 1891523View attachment 1891524