johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeliangalia jimbo la Muhambwe na kule Kibondo kwa kweli pamoja na mbwembwe za Zitto na Kafulila lakini Kigoma bado ni maskini sana.
Naweza kuufananisha mkoa wa Kigoma na wilaya ya Makete mkoani Njombe kwa akina Jah People, yaani full umaskini
Ila ukipita mitaa ya Kariakoo matajiri ndio hao Waha na Wakinga ila ukirudi vijijini mwao kunatisha.
Nikiukumbuka mjengo wa rip Mengi kule kijijini Machame natamani Wakinga na Waha wangeenda kujifunza somo la kukumbuka nyumbani maana si kwa vijumba vile vya Muhambwe na Kibondo.
Mungu wabariki Waha!
Naweza kuufananisha mkoa wa Kigoma na wilaya ya Makete mkoani Njombe kwa akina Jah People, yaani full umaskini
Ila ukipita mitaa ya Kariakoo matajiri ndio hao Waha na Wakinga ila ukirudi vijijini mwao kunatisha.
Nikiukumbuka mjengo wa rip Mengi kule kijijini Machame natamani Wakinga na Waha wangeenda kujifunza somo la kukumbuka nyumbani maana si kwa vijumba vile vya Muhambwe na Kibondo.
Mungu wabariki Waha!