Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee hakuna atakaefungwa ishu hapo hizo kadi ni za wasimamizi wa vituo(mawakala) sasa walitumwa viongozi wakawatolee copy ndio polisi wakawakamata.Yamekuwa hayo tena!!!
Sasa Jela inawangoja hao wapuuzi wasiopenda maisha yao
Unamaanisha akili za wanawake wa chadema ni nzito kama futari ya magimbi?Cdm hawawezi kuwa wamenunua hizo kadi Kama wafanyavyo maccm,Kuna uwezekano zilikuwa ni kadi za wanawake wamezihold ,si unajua wanawake akili zao,la sivyo tusubirie uchunguzi
NI MAWAZO YA KITOTO SANA HAYOHapo kuna maswali mengi yasiyo na majibu...
Kwani wapi wamesema waliingia kwenye nyumba ya mtu!?Hapo kuna maswali mengi yasiyo na majibu...
Unaishi nchi gani? Hukuziona fomu hapa jamvini zilizokuwa zinatembezwa na viongozi wa CCM wa vitongoji na mitaa wakiorodhesha wapiga kura na namba zao za simu.Thibitisha kamanda
Habari leo sio chanzo sahihi cha habari. Liko biased sanaPolisi Kigoma wanawashikilia watu watano (Viongozi wa Chadema) Kata ya Gwanumpu wilayani Kakonko kwa kukutwa na vitambulisho 14 vya kupigia kura kinyume cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi....
Kama wewe ni mpigakura wa Upinzani watafute ccm hukohuko uliko watainunua ilimradi ilimradi wagombea wa ccm wasiwe wanakubalika.Dah...mkuu kama unajua wapi wananunua kadi za kupigia kura nielekeze...yangu nauza buku 3 tu 🤭