Kigoma waharibu miundombinu ya umeme ya gridi ya taifa

Kigoma waharibu miundombinu ya umeme ya gridi ya taifa

Kigoma kuna mambo ya usiasa siasa sana na hasa kwenye masuala ya maendeleo...si jambo la ajabu umeme kutoka kijiji A ukaruka B na kwenda kuwaka C ukiuliza utasikia diwani wa B ni wa chama fulani....na haishi kwenye umeme tu hata barabara, maji, shule na vituo vya afya vinaenda kwa uchama khaaah....
kweli mkuuu
 
Back
Top Bottom