Kigoma kuna mambo ya usiasa siasa sana na hasa kwenye masuala ya maendeleo...si jambo la ajabu umeme kutoka kijiji A ukaruka B na kwenda kuwaka C ukiuliza utasikia diwani wa B ni wa chama fulani....na haishi kwenye umeme tu hata barabara, maji, shule na vituo vya afya vinaenda kwa uchama khaaah....