Kigoma waikataa CHADEMA, wananchi wengi kususia mkutano

Mtoa mada una ubahili wa ukweli, why ujihusishe na chama mfu kama unavyodai?,acha democracy itamalaki hapa nchini, nchi hii sio ya ccm pekee, fanya kulichokupeleka kigoma, mambo ya chadema achana nayo
 
UONGO hauna shahidi
 
Leo nimefika Kigoma kwa ajili ya mambo mbalimbali, lakini kwa kuwa chadema watakua na mkutano hapa imenibidi napo nitafute kujua nini kinaendelea...
Upo sahihi, nimeongea na wazee wa hapo mwandiga wamenifahamisha ukweli huo huo.
CHADEMA ni wabaguzi. Hawana ajenda. Yaani sio tu ni wafilisi, bali wamefilisika Kisiasa.
...
Nakusalimia tu mkuu.
Sijakosea, nimeamua nikusalimie kwa mkupuo maana mimi ndiyo naamka na wenge
 
Kigoma yote ni wakongo na warundi. Wakiishabikia chadomo, serikali ya chama cha nyinyiem itawapiga persona non grata ya saa mbili warudi makwao.
 
Kigoma yote ni wakongo na warundi. Wakiishabikia chadomo, serikali ya chama cha nyinyiem itawapiga persona non grata ya saa mbili warudi makwao.
Na Zanzibar ni ya Waarabu wa Oman ndiyo maana mnashabikia bandari za Tanganyika kuuzwa kwa Waarabu wa Dubai ili mpate uhalali wa kuifanya Tanganyika kuwa nchi ya Kiislam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…