Rais Samia Suluhu anaandika historia ya kuwa mmoja kati ya viongozi nchini waliopeleka miradi mikubwa ya kimaendeleo Kigoma na kuubadilisha mkoa wa kigoma kutoka mkoa uliokuwa nyuma kimiundombinu na kuwa mkoa wa kisasa.
Hiyo inatokana na Rais Samia Suluhu kupeleka miradi mikubwa ya barabara, viwanja vya ndege na madaraja, Miradi hii imekuwa na mafanikio makubwa kiuchumi, kuleta maendeleo kwa wananchi pia kwenda kuubadilisha mkoa huo ambao ulikua na adha ya usafiri na usafirishaji.
Kupitia uboreshaji wa miundombinu wananchi wa kigoma wananufaika na kurahisishiwa shughuri za kiuchumi maana kigoma ni mji wa biashara kuna uvuvi na kilimo hivyo sasa wataweza kusafirisha biashara zao kwa urahisi zaidi.
KIGOMA YA SASA SIO KAMA YA ZAMANI KIGOMA YA LEO INASONGA MBELE
Hiyo inatokana na Rais Samia Suluhu kupeleka miradi mikubwa ya barabara, viwanja vya ndege na madaraja, Miradi hii imekuwa na mafanikio makubwa kiuchumi, kuleta maendeleo kwa wananchi pia kwenda kuubadilisha mkoa huo ambao ulikua na adha ya usafiri na usafirishaji.
Kupitia uboreshaji wa miundombinu wananchi wa kigoma wananufaika na kurahisishiwa shughuri za kiuchumi maana kigoma ni mji wa biashara kuna uvuvi na kilimo hivyo sasa wataweza kusafirisha biashara zao kwa urahisi zaidi.
KIGOMA YA SASA SIO KAMA YA ZAMANI KIGOMA YA LEO INASONGA MBELE