Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga sana weweRais Samia Suluhu anaandika historia ya kuwa mmoja kati ya viongozi nchini waliopeleka miradi mikubwa ya kimaendeleo Kigoma na kuubadilisha mkoa wa kigoma kutoka mkoa uliokuwa nyuma kimiundombinu na kuwa mkoa wa kisasa.
Hiyo inatokana na Rais Samia Suluhu kupeleka miradi mikubwa ya barabara, viwanja vya ndege na madaraja, Miradi hii imekuwa na mafanikio makubwa kiuchumi, kuleta maendeleo kwa wananchi pia kwenda kuubadilisha mkoa huo ambao ulikua na adha ya usafiri na usafirishaji.
Kupitia uboreshaji wa miundombinu wananchi wa kigoma wananufaika na kurahisishiwa shughuri za kiuchumi maana kigoma ni mji wa biashara kuna uvuvi na kilimo hivyo sasa wataweza kusafirisha biashara zao kwa urahisi zaidi.
KIGOMA YA SASA SIO KAMA YA ZAMANI KIGOMA YA LEO INASONGA MBELE
Kipindi hiki cha Rais Samia Suluhu miundombinu inatunzwa na inaendelea kuboreshwaHongereni sana,
Muitunze sasa hiyo miundombinu.
Nenda kigoma kipindi hiki cha utawala wa Rais Samia Suluhu utajua kweli kigoma ya sasa imeboreshwaMjinga sana wewe
Hiyo miradi imeanza na yule mzee wenu, na bado inasuasua
mabasi yanalala njiani na vumbi la kutosha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijui wanajengewa barabara na madaraja vya nini wakati usafiri wao ni vipepeteo,fisi na bakora
Kigoma ipi???labda ya Congo..Nenda kigoma kipindi hiki cha utawala wa Rais Samia Suluhu utajua kweli kigoma ya sasa imeboreshwa
Kuna Muha anatusumbua huku usiku anaruka mpaka na mafagio ya buibui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona huwa mnagongana angani na EvilSpirit wenzako.
Mapori ya chimpsasili ya watu wavisiwani ni Congo>>> Kigoma kisha kufika znz ila nawashangaa wanajiita waarabu wa omani wakati wametokea kwenye mapori ya nguruwe pori
heniRais Samia Suluhu anaandika historia ya kuwa mmoja kati ya viongozi nchini waliopeleka miradi mikubwa ya kimaendeleo Kigoma na kuubadilisha mkoa wa kigoma kutoka mkoa uliokuwa nyuma kimiundombinu na kuwa mkoa wa kisasa.
Hiyo inatokana na Rais Samia Suluhu kupeleka miradi mikubwa ya barabara, viwanja vya ndege na madaraja, Miradi hii imekuwa na mafanikio makubwa kiuchumi, kuleta maendeleo kwa wananchi pia kwenda kuubadilisha mkoa huo ambao ulikua na adha ya usafiri na usafirishaji.
Kupitia uboreshaji wa miundombinu wananchi wa kigoma wananufaika na kurahisishiwa shughuri za kiuchumi maana kigoma ni mji wa biashara kuna uvuvi na kilimo hivyo sasa wataweza kusafirisha biashara zao kwa urahisi zaidi.
KIGOMA YA SASA SIO KAMA YA ZAMANI KIGOMA YA LEO INASONGA MBELE
Ulipita lini mkuu,kwa taarifa nyakanazi hafi kibondo ni lami tukigoma miradi ya barabara aliyoiacha jpm imebaki kama ilivyo wakandarasi wameweka vifaa hawana hela barabara zina matope hatari. ajali hazihesabiki katika mkoa huo hasa kuanzia nyakanazi hadi kasulu barabara mbovu sana