Kigoma ya sasa siyo kama ya zamani

Kigoma ya sasa siyo kama ya zamani

Shida ya Kigoma hata wakipelekewa miradi mizuri vipi, hawaachi kuabudu mlima Kabogo, uchawi, unafiki na kutokwa maarama usoni.
 
Rais Samia Suluhu anaandika historia ya kuwa mmoja kati ya viongozi nchini waliopeleka miradi mikubwa ya kimaendeleo Kigoma na kuubadilisha mkoa wa kigoma kutoka mkoa uliokuwa nyuma kimiundombinu na kuwa mkoa wa kisasa.

Hiyo inatokana na Rais Samia Suluhu kupeleka miradi mikubwa ya barabara, viwanja vya ndege na madaraja, Miradi hii imekuwa na mafanikio makubwa kiuchumi, kuleta maendeleo kwa wananchi pia kwenda kuubadilisha mkoa huo ambao ulikua na adha ya usafiri na usafirishaji.

Kupitia uboreshaji wa miundombinu wananchi wa kigoma wananufaika na kurahisishiwa shughuri za kiuchumi maana kigoma ni mji wa biashara kuna uvuvi na kilimo hivyo sasa wataweza kusafirisha biashara zao kwa urahisi zaidi.

KIGOMA YA SASA SIO KAMA YA ZAMANI KIGOMA YA LEO INASONGA MBELE
Mjinga sana wewe
Hiyo miradi imeanza na yule mzee wenu, na bado inasuasua
mabasi yanalala njiani na vumbi la kutosha
 
Sijui wanajengewa barabara na madaraja vya nini wakati usafiri wao ni vipepeteo,fisi na bakora
 
Sijui wanajengewa barabara na madaraja vya nini wakati usafiri wao ni vipepeteo,fisi na bakora
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona huwa mnagongana angani na EvilSpirit wenzako.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona huwa mnagongana angani na EvilSpirit wenzako.
Kuna Muha anatusumbua huku usiku anaruka mpaka na mafagio ya buibui
 
Imarisheni upinzani kama mnataka maendeleo Kigoma.
Rais Samia Suluhu anaandika historia ya kuwa mmoja kati ya viongozi nchini waliopeleka miradi mikubwa ya kimaendeleo Kigoma na kuubadilisha mkoa wa kigoma kutoka mkoa uliokuwa nyuma kimiundombinu na kuwa mkoa wa kisasa.

Hiyo inatokana na Rais Samia Suluhu kupeleka miradi mikubwa ya barabara, viwanja vya ndege na madaraja, Miradi hii imekuwa na mafanikio makubwa kiuchumi, kuleta maendeleo kwa wananchi pia kwenda kuubadilisha mkoa huo ambao ulikua na adha ya usafiri na usafirishaji.

Kupitia uboreshaji wa miundombinu wananchi wa kigoma wananufaika na kurahisishiwa shughuri za kiuchumi maana kigoma ni mji wa biashara kuna uvuvi na kilimo hivyo sasa wataweza kusafirisha biashara zao kwa urahisi zaidi.

KIGOMA YA SASA SIO KAMA YA ZAMANI KIGOMA YA LEO INASONGA MBELE
heni
 
kigoma miradi ya barabara aliyoiacha jpm imebaki kama ilivyo wakandarasi wameweka vifaa hawana hela barabara zina matope hatari. ajali hazihesabiki katika mkoa huo hasa kuanzia nyakanazi hadi kasulu barabara mbovu sana
 
kigoma miradi ya barabara aliyoiacha jpm imebaki kama ilivyo wakandarasi wameweka vifaa hawana hela barabara zina matope hatari. ajali hazihesabiki katika mkoa huo hasa kuanzia nyakanazi hadi kasulu barabara mbovu sana
Ulipita lini mkuu,kwa taarifa nyakanazi hafi kibondo ni lami tu
 
Back
Top Bottom