Hampigii tena picha hapo?Kivuko cha Buguruni hadi watu wengine wamekisusa
Hahaha sawa mkuuKigoma wanaelekea huko kwenye ma subway
KabisaKigoma ni Chibokoo!
Wakati konoike wanajenga barabara ya Morogoro miaka ya mwanzoni mwa 90, walitaka kujenga kivuko cha chini cha waenda kwa miguu, pale Manzese. Hata hivyo walishauriwa kuwa pale kuna wezi wengi, wakifanya hivyo watu wengi watakabwa, ndiyo wakaamua kujenga daraja.Mainjinia washirikishe chuo cha ardhi huo ujenzi wa vivuko
Hapo nadhani kwa sababu ndio wataalamu wanapikwa ndio maana wamefanya hivyo chuo kisije dhalilika ingekuwa kosa kubwa kama wangejenga kama Manzese na Buguruni kingeonekana chuo ni bogus
ππππππKisarawe bila Jokate je?
Aliyeshauri kichwa chake kibovu umati wa watu ulio pande zote mbili pale mtu anakabwaje? Kibaka anakimbilia wapi? Sasa lile daraja mtu mzima kweli aweza panda kuvuka barabara? Kuliko dormant lile chukulia una mdogo kichwani hivi waweza panda na mzigo kichwani you mdaraja? Anyway nadhani barabara zingine za mijini zikijengwa waweke umuhimu wa vivuko vya chini ya barabaraWakati konoike wanajenga barabara ya Morogoro miaka ya mwanzoni mwa 90, walitaka kujenga kivuko cha chini cha waenda kwa miguu, pale Manzese. Hata hivyo walishauriwa kuwa pale kuna wezi wengi, wakifanya hivyo watu wengi watakabwa, ndiyo wakaamua kujenga daraja.
Waliangalia usalama wakati wa usiku, kumbuka Manzese ya 1993 ilikuwa inatisha.Aliyeshauri kichwa chake kibovu umati wa watu ulio pande zote mbili pale mtu anakabwaje? Kibaka anakimbilia wapi? Sasa lile daraja mtu mzima kweli aweza panda kuvuka barabara? Kuliko dormant lile chukulia una mdogo kichwani hivi waweza panda na mzigo kichwani you mdaraja? Anyway nadhani barabara zingine za mijini zikijengwa waweke umuhimu wa vivuko vya chini ya barabara
Hii ndio kitu inashangaza kuhusu engineers wa kitanzania. Vivuko vya chini ya barabara ndio practical vya juu havina motivation kuvifuata. Cha manzese kipokipo tu ni mapambo hakitumiki ipasavyo. Suala la drainage kwa vivuko vya chini ya barabara wala sio shida kushughulikia. Hebu tutumie akili dar tunataka vivuko vya chini ya barabara kwa wingi kuokoa ajali za waenda kwa miguu.Kwenye ubunifu wa kujenga barabara ya kuvuka waenda kwa miguu kutoka upande mmoja kwenda mwingine Kigoma imeipiku Dar es salaam mbali mno
Mainjinia wa barabara Dar es salaam nendeni Kigoma mkajifunze huko ona Kivuko cha waenda kwa miguu kigoma kilivyokaa vizuri mtu unahamasika kuvuka lile la juu manzese na buguruni puuuuuuu hata hamu ya kulipanda uvuke mtu huna yanawafaa washinda jogging wenye misuli iliyokakama miguuni au wapanda milima kilimanjaro
KIGOMA YAPENDEZA / DARAJA LINALOPITA CHINI YA BARABARA KIGOMA