connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Kigoma sasa kuwa jiji
Waziri miaka 6 lami imemshinda kuweka wilayani kwake😅
Toka kuumbwa ulimwengu,. Leo hii Mkoa wa Kigoma umekwenda kutoa Kiongozi Mkubwa nchini.
View attachment 1738677
Hureee....Toka kuumbwa ulimwengu,. Leo hii Mkoa wa Kigoma umekwenda kutoa Kiongozi Mkubwa nchini.
View attachment 1738677
jamaa mmoja tu na njaa zake eti Kigoma imezizima - CCM bana kwa kukuza mambo hamjambo !!Toka kuumbwa ulimwengu,. Leo hii Mkoa wa Kigoma umekwenda kutoa Kiongozi Mkubwa nchini.
View attachment 1738677
Watanzania tu viumb wa ajabu. Kiongozi akipendelea kwake anasutwa, akiacha anasutwa!Waziri miaka 6 lami imemshinda kuweka wilayani kwake😅
Waziri miaka 6 lami imemshinda kuweka wilayani kwake[emoji28]
Na mbaya zaidi mtu wa mkoa wako au kabila au dini akishika madaraka habadilidishi chochote kwenye maisha yako. Ni hisia za kijinga sana.Mmeanza ukabila. Siku za hivi karibuni kumeanza kumea mbegu za ukabila, mara utasikia SUKUMA GANG mara hawa na moka zao wanaruka barabani huko nk that's why ilifaa makabila madogo kama wamang'ati wawe wanashika hatamu badala ya haya yanayojiita makabila makubwa!
Buhigwe pako hovyo miradi mingi ipelekwe kule jamani uchumi ufunguke watu wa buhigwe wachapa kazi mno lakini mzunguko wa hela mdogo .Aaongee na halmashuri miradi gani ifanyike pale kufungua uchumi mkubwaMzee wa BUHIGWE
Big up Kigoma OyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeToka kuumbwa ulimwengu,. Leo hii Mkoa wa Kigoma umekwenda kutoa Kiongozi Mkubwa nchini.
View attachment 1738677