connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
- Thread starter
- #21
Make Kigoma Proud (MAKIPRO)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna saccos ya pingapinga Fc ndo hawaeleweki.Watanzania tu viumb wa ajabu. Kiongozi akipendelea kwake anasutwa, akiacha anasutwa!
Soon Kigoma itakua kama Dubai hahahahahhaha maana ilisahaulika kweliMake Kigoma Proud (MAKIPRO)
Yah right. Ile ahadi ya Kikwete ya kuifanya Kigoma kuwa kama Dubai inaenda kutekelezwa .....!!Kigoma sasa kuwa jiji
Nyerere kakaa Ikulu miaka 23 Butiama kaiacha haina Lami
Mkapa kakaa ikulu miaka 10 Lupaso kaiacha haina lami
Unataka afanye kama alivyofanya Magu?
Abeeeeeh!???Kigoma sasa kuwa jiji
wonders shall never End...Huyo mtu mmoja hapo Barabarani ndio anawakilisha kusema kua Kigoma imezizima kwa furaha?
Keshakufa,labda mtaacha gubu lakini wapi.Hamtaki kuamini kama kafa ehee, Hayati maana yake ni marehemu. Kafa mwenda zake.
Chato mmeshamaliza, sasa mmehamia Buhigwe[emoji2][emoji3]Buhigwe pako hovyo miradi mingi ipelekwe kule jamani uchumi ufunguke watu wa buhigwe wachapa kazi mno lakini mzunguko wa hela mdogo .Aaongee na halmashuri miradi gani ifanyike pale kufungua uchumi mkubwa
Si mzoee na kuvumiliana si ndio siasa zinavyotaka, acha watu watumie Demokrasia yao, ni kawaida sana.Keshakufa,labda mtaacha gubu lakini wapi.
Wenzio kule tweeter washaanza gubu kwa mama.wamechukia lagacy ya Magufuli kuteuliwa VP.
Mnachoshindwa kuelewa CCM ni"ileile na sera ni zilezile"watu ni walewale.[emoji444]
"Tumejipanga mwaka huu mtaisoma"[emoji444]
Kabisa yaaniNa mbaya zaidi mtu wa mkoa wako au kabila au dini akishika madaraka habadilidishi chochote kwenye maisha yako. Ni hisia za kijinga sana.
Na ile hifadhi ya utalii ya mbuga za wanyama ihamishiwe Kigoma toka Chato.Kigoma sasa kuwa jiji
Kudadeki nimecheka balaa na hii commentMake Kigoma Proud (MAKIPRO)
HahahahahaaaaaaHuyo mtu mmoja hapo Barabarani ndio anawakilisha kusema kua Kigoma imezizima kwa furaha?
Cheo cha VP naonaga hana mamlaka kama PM.Buhigwe pako hovyo miradi mingi ipelekwe kule jamani uchumi ufunguke watu wa buhigwe wachapa kazi mno lakini mzunguko wa hela mdogo .Aaongee na halmashuri miradi gani ifanyike pale kufungua uchumi mkubwa