Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Akikujibu hii kama prudent unitag.Mkuu wewe kama mwanasheria tunategemea uwe mfano bora wa kusimamia katiba, sheria, kanuni na taratibu, unaona katiba inavunjwa kwa makusudi unawasukumizia mzigo CHADEMA, CHADEMA walishasema wale siyo wanachama wao...