Kigugumizi cha CHADEMA juu ya akina Halima Mdee kinatokana na nini? Sikilizeni Rufaa na mtoe uamuzi wa mwisho

Kigugumizi cha CHADEMA juu ya akina Halima Mdee kinatokana na nini? Sikilizeni Rufaa na mtoe uamuzi wa mwisho

Mleta mada unajifanya hujui kitu eeeh.
Wewe ni mwanasheria gani?

Unajua rufaa ina maana kuwa umeipokea hukumu, na unatambua umehukumiwa na chombo halali?

Hivi unajua utaratibu wa kukata rufaa unakuja baadaye toka hukumu kutolewa?

Hivi unajua hata hao wachache waliodaiwa kukata rufaa wamefanya hivyo nje ya muda?

Sasa Spika Ndugai kwanini aligoma kutamka mapema alipopewa taarifa kuwa wamevuliwa uanachama ili kuutangazia umma kuwa hao wabunge 19 sio wabunge na badala yake akang'ang'ania kuwa hana taarifa mara anasubiri kwanza wakate rufaa, hivi alijuaje watakata rufaa?

Hivi unajua katika wale wabunge 19, ni sita tu ndio waliokata rufaa. Hao 13 wanawekwa kundi gani?
 
Mleta mada unajifanya hujui kitu eeeh.
Wewe ni mwanasheria gani?

Unajua rufaa ina maana kuwa umeipokea hukumu, na unatambua umehukumiwa na chombo halali...
 
Hili bandiko lako la April last year nimelielewa! Mada yako ya Leo naona ni mada chokonozi, pamoja sana mkuu
 
Mambo yote yataisha uamuzi tu ukitolewa
CHADEMA wametaka wenyewe hao akina Mdee kuendelea kuwa Bungeni.

Tulitegemea wahusika wakae na kutoa maamuzi. Switch wanayo wenyewe! Uongo wa akina Tulia na Ndugai wake, tungeshauona siku nyingi kama kikao husika kingesha bariki kufurushwa kwao!

Tumeambiwa DAWA ya kumponya mgonjwa! Hatutaki anywe! Ataponaje?
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho...
Pengine watakuwa waliamua kuwaacha waendelee na uanachama, possibly baada ya kuona kuwa kuwafukuza uanachama kutawasababishia kupoteza ajira, kitu ambacho siyo kizuri kwa sababu kingepingana kabisa na jitihada za Serikali ya awamu ya 6 ya kuhakikisha kuwa inatengeneza ajira kwa watu wake. Sasa Serikali itatengenzaje ajira kwa watu wake ikiwa wao watakuwa wanawafukuzisha wa-Tanzaina kazi?

Ikumbukwe kuwa Ubunge ni ajira pia na kwamba upinzani haupo kwa ajili ya kupingana na Serikali iliyopo madarakani, bali kutangaza sera zinazokubalika kwa wananchi na hatimaye kukiondoa chama tawala madarakani, kwa kutumia hoja zinazotokana na sera na si kuingia madarakani kwa ghiliba ya kuipinga Serikali iliyopo madarakani
 
CHADEMA fanyeni mnayoona yana manufaa ndani ya chama chenu kwa sasa.

Hao Covid-19 wasiwapotezee muda wenu wa kufanya mambo ya maana kwa taifa letu

Agenda kwa sasa ni KATIBA MPYA.
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho..
Wewe ni shyster lawyer! Kwanini? Ukihukumiwa adhabu huwa inasimama utekelezaji? unaomba rufaa ukiwa unatumikia. Is that what is happening?

Halafu unajiita lawyer! The correct position would have been to chase them out, serving their "sentence" while waiting for the outcome of their appeal application
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Mamlaka za kibunge zinasubiri uamuzi wa CHADEMA juu ya rufaa ya akina-Halima Mdee ili ziweze kuchukua hatua stahiki. Spika Tulia ameshasema Bunge linaendeshwa kidemokrasia na kisheria. Unasubiriwa uamuzi tu wa CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Swala hapa siyo rufaa. Hao Wabunge waliingizwa bungeni kinyume cha sheria ..... Hilo swala la kufukuzwa ni jingine ambayo pia inawanyima hadhi ya kuwepo hapo ........!!
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Mamlaka za kibunge zinasubiri uamuzi wa CHADEMA juu ya rufaa ya akina-Halima Mdee ili ziweze kuchukua hatua stahiki. Spika Tulia ameshasema Bunge linaendeshwa kidemokrasia na kisheria. Unasubiriwa uamuzi tu wa CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Rufaa yao haina uhusiano wowote na wao kuwemo bungeni kuwakilisha CHADEMA. Hata kama watashinda rufaa yao bado hawatastahili kukiwakilisha chama chao kwa sababu hawakuteuliwa na chama chao kufanya hivyo.

Uamuzi wa Spika kuwakingia kifua ni ishara tosha kuwa hatilii maanani taratibu na sheria zinazoongoza upatikanaji wa wabunge wa viti maalum. Ni Spika, sio CHADEMA ndio anawajibika kueleza aliongozwa na kitu gani kufikia uamuzi wa kuwaapisha. CHADEMA wamemtaka atoe fomu na barua husika za utambulisho kutoka "kwao" lakini hajafanya hivyo. Kwa mantik hiyo amejipa mamlaka ya kuapisha mwanachama yeyote wa chama cha upinzani kuwa mbunge pale anapojisikia. Anaweza kuamka kesho akamuapisha kwa mfano Pambalu au Ruge kuwa wabunge bila ridhaa ya chama chao na asiulizwe kitu.

Uovu waliofanya kwenye suala hili ni muendelezo wa tabia yao ya kujipa mamlaka ya kuamua nani anastahili kuwemo bungeni bila kujali maoni ya vyama husika. Tumesahau mara kuwa Spika alimrudisha bungeni mtu aliyeishajitoa CHADEMA na kuchukua kadi ya CCM na kumwambia atawakilisha CHADEMA? Bila aibu alimkingia kifua mwanachama wa CCM kuwakilisha CHADEMA bungeni na hakufanywa kitu! Kwa hali hii ya impunity unaamini kuwa leo ndio wanasubiri uamuzi wa CHADEMA ili watende haki? CHADEMA wako sahihi kupuuzia suala hili maana mpira uko mikononi mwa Spika.

Kama kweli Spika anafuata sheria ajibu barua ya Katibu Mkuu wa CHADEMA na aweke wazi nyaraka zilizotoka CHADEMA na Tume ya Uchaguzi zilizotoa baraka kwa wakina Halima kuwa wabunge. Nje ya hapo ni kupotezeana muda. CHADEMA watakosea sana kama watafanya suala la wao kufukuzwa kwenye chama kuwa ndio sababu ya msingi ya wao kukosa uhalali wa kuwepo bungeni. Wakifanya hivyo watawapa afueni wale walionajisi Katiba, sheria na taratibu zinazoongoza uteuzi wa wabunge na vyama vyao. Wasiwape hiyo nafasi.

Amandla...

Cc. Nguruvi3 JokaKuu
 
We ni mwanasheria kweli au wale makanjanja? wewe mtu akihukumiwa kifungo gerezani lakini akakata rufaa hataenda gerezani mpaka rufaa yake isikilizwe?

Tulia mwenye kaingia bungeni kwa nguvu ya dola unategemea atasimama upande upi? pale bungeni wabunge walioingia kihalali hawazidi wanne lakini na wewe unajitoa ufahamu .
Nilitaka kuandika hii kitu kumbe umeshaandika, kinacholazimishwa na kina Tulia na CCM wengine kuhusu hii kitu ni kuwatoa watu kwenye reli kama ilivyotokea kwa mleta mada kwa wao kuleta mambo mengi yasiyo na maana.

Kimsingi hakuna popote mfungwa huruhusiwa kutoka kifungoni mpaka rufaa yake itakaposikilizwa, wanalazimisha kitu ambacho hakipo.
 
CHADEMA wasijifiche kwenye kichaka kwamba Jamuhuri imeweka Wabunge-19 haramu Bungeni. Ili kupata majibu kwanini Wabunge-19 wako Bungeni CDM pia wanapaswa kumalizana nao ndani ya chama chao.
Tangu November 2020 hadi leo wanashindwa kumalizana na hao wanachama au ni mchongo? 🧐
 
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama hicho.

Ikaripotiwa na hata kusemwa na mmoja wa waliofukuzwa uanachama Bungeni Dodoma (Jesca Kishoa) kuwa wapo waliofukuzwa uanachama ambao walikata rufaa kupinga kufukuzwa kwao uanachama. Mamlaka ya rufaa imeripotiwa kuwa ni Baraza Kuu la CHADEMA.

Mamlaka za kibunge zinasubiri uamuzi wa CHADEMA juu ya rufaa ya akina-Halima Mdee ili ziweze kuchukua hatua stahiki. Spika Tulia ameshasema Bunge linaendeshwa kidemokrasia na kisheria. Unasubiriwa uamuzi tu wa CHADEMA.

Ni miezi mingi sasa imepita tangu akina Halima Mdee wafukuzwe uanachama na baadhi yao kukata rufaa. Lini hasa rufaa zao zitasikilizwa na uamuzi wa mwisho kichama kutolewa juu yao? Ukimya huu ni baraka za kificho kuwa akina Halima Mdee waendelee na mambo yao ukiwemo Ubunge?
Hivi nikuulize?? Ukihukumiwa na mahakama kwenda jela nawe ukaamua kukata rufaa, una kuwa huru kusubiri rufaa yako au unaendelea na adhabu wakati una subiria maamuzi ya rufaa yako?? Ukijibu hilo swali tayari utaona kuna ujinga serikali ina wafanyia Chadema.

Sikutegemea jibu kama lile kutoka kwa mwanasheria wa PhD ati Dr. Useless.
Kina Halima walitakiwa watii maamuzi yaliyo wasimamisha uanachama wakati wana subiri rufaa yao!!! Period!!!
 
Rufaa yao haina uhusiano wowote na wao kuwemo bungeni kuwakilisha CHADEMA. Hata kama watashinda rufaa yao bado hawatastahili kukiwakilisha chama chao kwa sababu hawakuteuliwa na chama chao kufanya hivyo.

ka, sio CHADEMA ndio anawajibika kueleza aliongozwa na kitu gani kufikia uamuzi wa kuwaapisha. CHADEMA wamemtaka atoe fomu na barua

Amandla...

Cc. Nguruvi3 JokaKuu
Baraza Kuu la Chadema lilipanga kufanya kikao kuhusu uamuzi wa Rufaa ya hao wabunge Julai 5 2021 nini kilikwamisha ?
 
Wewe ni mwanachama wa Chadema? Kama sio mwanachama, halikuhusu.

Amandla...
Sssa habari zenu za Chadema mnaleta JF za nini kama hamtaki watu wahoji pelekeni Ufipa msilete JF siyo mali ya Chadema kama pro-Chadema wengi mnavyofikiria hili ni jukwaa huru kinacholetwa humu kinajadiliwa kwa mujibu wa kanuni za JF.
 
Km wamefukuzwa na wamekata rufaa tunadeal na kufukuzwa kwanza zen rufaa ikitoka wameshinda wanarudi bungeni

Tulia anatufanya tu watu wajinga na hawajui sheria

Tunaichukia chadema ila chadema inatumia akili sana ktk baadhi ya mambo moja wapo ni hili
 
Km wamefukuzwa na wamekata rufaa tunadeal na kufukuzwa kwanza zen rufaa ikitoka wameshinda wanarudi bungeni

Tulia anatufanya tu watu wajinga na hawajui sheria

Tunaichukia chadema ila chadema inatumia akili sana ktk baadhi ya mambo moja wapo ni hili
CHADEMA wasijifiche kwenye kichaka kwamba Jamuhuri imeweka Wabunge-19 haramu Bungeni. Ili kupata majibu kwanini Wabunge-19 wako Bungeni CDM pia wanapaswa kumalizana nao ndani ya chama chao.
Tangu November 2020 hadi leo wanashindwa kumalizana wafukuzeni kwanza.
 
We ni mwanasheria kweli au wale makanjanja? wewe mtu akihukumiwa kifungo gerezani lakini akakata rufaa hataenda gerezani mpaka rufaa yake isikilizwe?

Tulia mwenye kaingia bungeni kwa nguvu ya dola unategemea atasimama upande upi? pale bungeni wabunge walioingia kihalali hawazidi wanne lakini na wewe unajitoa ufahamu .
Tofautisha nahakama na katoba za vyama au taasisi

Katiba ya chama ya chadema uamuzi final kabisa uko mkutano mkuu kama kafukuzwa hakati rufaaa kwenye kinachofanyika in kupinga uamuzi wa kikao cha chini kwa kikao cha juu amvacho in baraza kuu.Baraza kuu kikiridhia mfano kuachishwa uanachama wao wanaweza kupinga huo uamuzi wakapeleka mkutano mkuu .Wakati wote was mchakato huo MTU abakuwa bado mwanachama.Mkutano mkuu ukitidhia hapo ndipo inakuwa final na hotimisho LA uanachama wao

Mdee na wenzie walipinga wa kamati kuu wakapeleka baraza kuu ambalo hadi Leo halijakaa hivyo wao bado wanachana hai wa chadena na hats baraza kuu lilikikaa likapitisha waweza pinga vile vile wakalipeleka mkutano mkuu

Baraza kiu hawataki kuotisha ndio maaba mleta kauliza hicho kigugumizi kulikoni?
 
Back
Top Bottom