Aaah ndugu yangu ...inakuwaje hapa tena! Kwani kazi ya afisa habari ni Nini!? Mbona kila siku Ndg. Yetu wa Ikulu anatuletea teuzi tu.. Kwann asikae Rais Dkt. JPM awatambulishe!?ππππ πππππ ππππππ ππππππππππππ ππππ π πππ? πππ π serious na vitu vya msing
Issue sio uzoefu wake, issue ni conflicts of interest.
Hii ni pisi ya Mudi, ni mfanyakazi binafsi wa mudi leo anakua CEO kwenye taasisi ambayo Mudi ni muwekezaji mwenye hisa hamuoni kuwa atakua anafavor maslahi ya Mudi zaidi kuliko maslahi ya taasisi??
Kigwangwala na wote wanaomshabikia wana uelewa mdogo sana wa Corporate Management, CEO ni Mwajiriwa na anapewa Job description na Objectives za kufanyia Kazi tena zenye Performance indicators, baada ya muda atafanyiwa appraisal na kama atakuwa hajatekeleza objectives zake kwa mujibu wa makubaliano basi ajira yake itasitishwa, na nijuavyo taasisi nyingi watumishi wana sign declaration ya Conflict of interest , kwenye ulimwengu wa sasa huwezi kuajiri a Senior member of Management Kwenye organisation kama una mashaka na Loyalty yake.Issue sio uzoefu wake, issue ni conflicts of interest.
Hii ni pisi ya Mudi, ni mfanyakazi binafsi wa mudi leo anakua CEO kwenye taasisi ambayo Mudi ni muwekezaji mwenye hisa hamuoni kuwa atakua anafavor maslahi ya Mudi zaidi kuliko maslahi ya taasisi??
Mimi naridhika Sana jamaa zangu wa ughaiibuni wakinitumia video clip Simba anakipiga na Zamelek...halafu Zamalek katepeta.. wanataja majina ya wachezaji wetu.. au kuona tweet ya wanigeria wanahaha Timu zao zinapoiface Simba..Kaka sisi furaha yetu tumfunge yanga timu yetu ifanye usajiri mzuri basi
Hilo ndio la msingi Kwa sisi mashabiki
Chokochoko ipi mkuu..?
Mbna anaongea vitu vya msingi katika klabu
Hii pisi ya mudi hamtaamini siku atakayowachanganyia marage,urojo na maboga kwenye sufuria moja ndiyo mtaelewa hizo form za declaration of interest hazina maana yoyote mbele ya dushelele.Kigwangwala na wote wanaomshabikia wana uelewa mdogo sana wa Corporate Management, CEO ni Mwajiriwa na anapewa Job description na Objectives za kufanyia Kazi tena zenye Performance indicators, baada ya muda atafanyiwa appraisal na kama atakuwa hajatekeleza objectives zake kwa mujibu wa makubaliano basi ajira yake itasitishwa, na nijuavyo taasisi nyingi watumishi wana sign declaration ya Conflict of interest , kwenye ulimwengu wa sasa huwezi kuajiri a Senior member of Management Kwenye organisation kama una mashaka na Loyalty yake.
Ewaaa! Subirini mechi ila sisi viherehere tunaendelea kufatilia maswala ya ndani ya ofisini.Kaka sisi furaha yetu tumfunge yanga timu yetu ifanye usajiri mzuri basi
Hilo ndio la msingi Kwa sisi mashabiki
Manara mpambe.. ceo bebi..Vipi manara anasemaje
Hii pisi ya mudi hamtaamini siku atakayowachanganyia marage na maboga kwenye sufuria moja ndiyo mtaelewa hizo form za declaration hazina maana yoyote mbele ya dushelele.
Manara amekua mwekundu kama papai bovu.Vipi manara anasemaje
Punguza jazba gabachori anataka pesa za mazwazwa.Huu ni uchawi kama uchawi mwingine tu.
Unataka kumtisha nani,na Mo atatufanya nini?!Nchi hii hii,na washabiki hawa hawa,unadhani yeye hana akili kama wewe?
Kaka taratibu bwana..tusifike huko. [emoji16] sasaNahisi Kigwangala amenunuliwa na GSM.Hawa watu wa siasa sio wa kuwaamini,maana kama mtu anaweza kubaka mwanae ili apate nguvu za kisiasa,atashindwaje kuisaliti timu tu ya mpira ili atimize haja zake?
Issue sio uzoefu wake, issue ni conflicts of interest.
Hii ni pisi ya Mudi, ni mfanyakazi binafsi wa mudi leo anakua CEO kwenye taasisi ambayo Mudi ni muwekezaji mwenye hisa hamuoni kuwa atakua anafavor maslahi ya Mudi zaidi kuliko maslahi ya taasisi??
You are on the [emoji383] ..Marina CEO wa Chelsea alikuwa PA wa Abromovich mbona hakuna conflict of interest. Hata CEO aliteuliwa na Kigwa kea pesa aliyonayo Mo akiamua apewe upendeleo atapewa tu
Shida hii ni pisi ya mudi atakuwa anapewa maelekezo ya kazi kitandani.Marina CEO wa Chelsea alikuwa PA wa Abromovich mbona hakuna conflict of interest. Hata CEO aliteuliwa na Kigwa kea pesa aliyonayo Mo akiamua apewe upendeleo atapewa tu
You are on the [emoji383] ..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sisemi More amemteua ..au amemuweka.. ila ushawishi mkubwa alionao ndani ya Simba..umechangia.. that's all.
Conflict ya interest!!Mshindo Msola ameaacha kazi??Issue sio uzoefu wake, issue ni conflicts of interest.
Hii ni pisi ya Mudi, ni mfanyakazi binafsi wa mudi leo anakua CEO kwenye taasisi ambayo Mudi ni muwekezaji mwenye hisa hamuoni kuwa atakua anafavor maslahi ya Mudi zaidi kuliko maslahi ya taasisi??