Kwani huyo Poyoyo alipoteuliwa kuwa naibu waziri wa Afya alikuwa na experience gani? Au alitoa rushwa kwa mh rais? Je alipoteuliwa kuwa waziri wa maliasili alihonga mkewe kwa viongozi wa juu? HANA LOLOTE MSHAMBA TUU. Ameanza kuota meno. Ajiangalie atakuja juta. Baraza lijalo hatumpi nafasi. Haijui simba ya sasa huyo. Aache kuanzisha chokochoko "KUBWAJINGA"Nimeona baadhi ya wachambuzi maandazi wamepata jambo la kuongelea wiki hii nzima baada ya Kigwangala kuhoji uteuzi wa CEO mpya wa Simba.
Kifupi tu namuomba aache kuleta uswahili na choko choko kwa club ya Simba kwani naamini ukitoa dili zilizomtoa kisiasa, hana uwezo wa kujua masuala ya uendeshaji timu, uongozi na usimamizi wa miradi mikubwa.
Kama tu ameshindwa tu kuimarisha chuo chake, mradi ambao ni uwekezaji wenye faida kubwa na wenye uwezo wa kuajiri watu wengi, atakuwa na mawazo gani ya kuishauri Simba kama sio tu kuanzisha choko choko?
@kibaravumbaMwenyekiti wa Simba,tunaomba mtu huyu adhibitiwe.
Ikibidi asimamishwe uanachama kwa sababu nia yake si nzuri kwa timu.
Na ninaamini atakuwa anatumika na upande wa pili.Aendelee kuwa waziri wa Simba mwitu atuachie Simba yetu.
Tabia kama hizi zinaweza kuigawa club na kuwafanya adui zetu wavune ushindi na kutuvurugia timu.
Kwanza kwa taarifa zisizo rasmi inaonekana ana mgogoro binafsi na Mo.Huyu jamaa ni dhaifu sana,sijui huo uwaziri anaumudu kivipi.
Ni kweli kabisa ila kama shabiki wa Simba kipi unataka kwa sasa, Mwamedi atoke?@kibaravumba
Ivi mtu akihoji kuhusu makubaliano ambayo hayakutekelezeka kuhusu timu yake ni dhambi?
Dr.kigwangala yupo sahihi kabisa,maana inaenda mwaka wa 4 huu tangu Mo alipoingia makubaliano na simba juu ya uwekezaji wa bilioni 20.
Em fikiria ile logo yetu ya Simba ambayo ilikua na slogan ya timu imebadilishwa,kwenye jezi ya timu kuna brands kibao ambazo kimsingi legally hazitakiwiii kuwa pale..
Nataka zile b20 ziwekwe afu Mambo yaendeleeeNi kweli kabisa ila kama shabiki wa Simba kipi unataka kwa sasa, Mwamedi atoke?
Sawa ila mashabiki wa Simba tunataka ushindi tu.Nataka zile b20 ziwekwe afu Mambo yaendeleee
@CvezSawa ila mashabiki wa Simba tunataka ushindi tu.
Mkuu heshima kwako, naomba unisaidie kujibu maswali haya :@kibaravumba
Ivi mtu akihoji kuhusu makubaliano ambayo hayakutekelezeka kuhusu timu yake ni dhambi?
Dr.kigwangala yupo sahihi kabisa,maana inaenda mwaka wa 4 huu tangu Mo alipoingia makubaliano na simba juu ya uwekezaji wa bilioni 20.
Em fikiria ile logo yetu ya Simba ambayo ilikua na slogan ya timu imebadilishwa,kwenye jezi ya timu kuna brands kibao ambazo kimsingi legally hazitakiwiii kuwa pale..
Kumbuka kuwa moja ya watu watakaomfanyia hiyo appraisal Mo ni mmoja wao na ndio Boss wa Timu. Je, kutakuwepo na transparency ya uhakika wakati wa zoezi hilo. Maana anawajibika kwa Boss mmoja mara 2. Lazima atabebwa tu kwa vile analinda maslahi ya Boss wake. So, bila ubishi Kuna conflict of interest hapo.Kigwangwala na wote wanaomshabikia wana uelewa mdogo sana wa Corporate Management, CEO ni Mwajiriwa na anapewa Job description na Objectives za kufanyia Kazi tena zenye Performance indicators, baada ya muda atafanyiwa appraisal na kama atakuwa hajatekeleza objectives zake kwa mujibu wa makubaliano basi ajira yake itasitishwa, na nijuavyo taasisi nyingi watumishi wana sign declaration ya Conflict of interest , kwenye ulimwengu wa sasa huwezi kuajiri a Senior member of Management Kwenye organisation kama una mashaka na Loyalty yake.
Mkuu hoja zako zimejengwa kwenye hisia na udhanifu, kwenye performance Apraisal tunaangalia objectives, apewe muda kama hana uwezo itajulikana tu kwa kuangalia trend ya overall performance ya teamKumbuka kuwa moja ya watu watakaomfanyia hiyo appraisal Mo ni mmoja wao na ndio Boss wa Timu. Je, kutakuwepo na transparency ya uhakika wakati wa zoezi hilo. Maana anawajibika kwa Boss mmoja mara 2. Lazima atabebwa tu kwa vile analinda maslahi ya Boss wake. So, bila ubishi Kuna conflict of interest hapo.
We shabiki wa simba au mwanachama? Kama shabiki unaujasiri gani wa kudai kitu ambacho hakikuhusu? Na kama mwanachama we umechangia sh ngapi kwenye hayo makubaliano maana wanachama mna 51% zenu lakini hadi hamjatoa chochote.Nataka zile b20 ziwekwe afu Mambo yaendeleee
Kiuhalisia yeyote anaempinga Mo kuna issue zake binafsi na si kama ana mapenzi makubwa sana na SimbaWe shabiki wa simba au mwanachama? Kama shabiki unaujasiri gani wa kudai kitu ambacho hakikuhusu? Na kama mwanachama we umechangia sh ngapi kwenye hayo makubaliano maana wanachama mna 51% zenu lakini hadi hamjatoa chochote.
Ko mnataka MO atoe hizo 20b ili zikiisha wakati 51% zenu hamjatoa MO apate hasara?
@kibaravumba
Ivi mtu akihoji kuhusu makubaliano ambayo hayakutekelezeka kuhusu timu yake ni dhambi?
Dr.kigwangala yupo sahihi kabisa,maana inaenda mwaka wa 4 huu tangu Mo alipoingia makubaliano na simba juu ya uwekezaji wa bilioni 20.
Em fikiria ile logo yetu ya Simba ambayo ilikua na slogan ya timu imebadilishwa,kwenye jezi ya timu kuna brands kibao ambazo kimsingi legally hazitakiwiii kuwa pale..
Nataka zile b20 ziwekwe afu Mambo yaendeleee
Nataka zile b20 ziwekwe afu Mambo yaendeleee