Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Huyu mwanasiasa huwa anajiweka hustler mpambanaji sana wakati kila mtu anajua amefika hapo alipo kwa mserereko na kubebwa, mzazi wake alikuwa mtu wa chama, kuupata ubunge mara ya kwanza yeye mwenyewe alishindwa kura za maoni akabebwa na baadaye jimbo likagawanywa ili aendelee kubaki mbunge.
Inashangaza sana anapojifanya ameyapatia maisha kwa upambanaji na juhudi zake binafsi huku akiwananga vijana waliopigika kila siku.
Inashangaza sana anapojifanya ameyapatia maisha kwa upambanaji na juhudi zake binafsi huku akiwananga vijana waliopigika kila siku.