Kigwangalla asema nzega hawana hitaji lolote isipokuwa kumshukuru Rais Samia

Kigwangalla asema nzega hawana hitaji lolote isipokuwa kumshukuru Rais Samia

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776

“Wananchi wa Nzega Vijijini walishatoa msimamo Mh. Rais alipotembelea pale kwamba hawana la kuomba zaidi ya kumshukuru Rais “

Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla amewataka Watanzania wote popote walipo kutumia hashtag ya ‘Nasimama na Mama’ wanapoweka picha zao au machapisho mengine mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni sehemu ya kuonesha kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na Rais wa Tanzania-Samia-Suluhu Hassan.

Pia soma Hamis Kigwangalla: Ukiposti kitu chochote Mtandaoni weka na Hashtag ya 'Nasimama na Mama'

Screen Shot 2024-04-19 at 11.00.03.png
Screen Shot 2024-04-19 at 11.02.12.png


‘Nasimama na Mama’ na hii ni kwasababu Rais Samia anafanya kazi nzuri” “ Rais Samia amechukua Nchi kwenye kipindi kigumu na kaisimamisha Nchi vizuri kwahiyo lazima tufurahi, unaenjoy na amani na utulivu, Wabunge wote, Wana CCM wote, Watanzania wote popote ulipo hashtag yetu iwe ‘Nasimama na Mama”

#Wana-Tabora nyumba za udongo ni saizi yao!
 

“Wananchi wa Nzega Vijijini walishatoa msimamo Mh. Rais alipotembelea pale kwamba hawana la kuomba zaidi ya kumshukuru Rais “

Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla amewataka Watanzania wote popote walipo kutumia hashtag ya ‘Nasimama na Mama’ wanapoweka picha zao au machapisho mengine mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni sehemu ya kuonesha kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na Rais wa Tanzania-Samia-Suluhu Hassan. View attachment 2968073View attachment 2968074

‘Nasimama na Mama’ na hii ni kwasababu Rais Samia anafanya kazi nzuri”“ Rais Samia amechukua Nchi kwenye kipindi kigumu na kaisimamisha Nchi vizuri kwahiyo lazima tufurahi, unaenjoy na amani na utulivu, Wabunge wote, Wana CCM wote, Watanzania wote popote ulipo hashtag yetu iwe ‘Nasimama na Mama”


Hawa vichaa wa CCM siyo wa kuwatilia maanani, watoto wa Kigwangwala wanasoma shule Bora halafu anawasanifu wananzengo.

Lakini watu wa Tabora wanastahili hizo kejeri ni mazezeta Sana Kwa miaka mingi.

Ukiacha kizazi cha kina Fundikira na mtemi Isike hiki kizazi cha sasa NI cha hovyo kabisa.
 
Hawa vichaa wa CCM siyo wa kuwatumia maanani, watoto wa Kigwangwala wanasoma shule Bora halafu anawasanifu wananzengo.

Lakini watu wa Tabora wanastahili hizo kejeri ni mazezeta Sana Kwa miaka mingi.

Ukiacha kizazi cha kina Fundikira na mtemi Isike hiki kizazi cha sasa NI cha hovyo kabisa.
Wana historia ya kuwa vibaraka wa Waarabu, Kigwangala anatekeleza waliyofanya Babu zake.
 

“Wananchi wa Nzega Vijijini walishatoa msimamo Mh. Rais alipotembelea pale kwamba hawana la kuomba zaidi ya kumshukuru Rais “

Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla amewataka Watanzania wote popote walipo kutumia hashtag ya ‘Nasimama na Mama’ wanapoweka picha zao au machapisho mengine mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni sehemu ya kuonesha kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na Rais wa Tanzania-Samia-Suluhu Hassan. View attachment 2968073View attachment 2968074

‘Nasimama na Mama’ na hii ni kwasababu Rais Samia anafanya kazi nzuri” “ Rais Samia amechukua Nchi kwenye kipindi kigumu na kaisimamisha Nchi vizuri kwahiyo lazima tufurahi, unaenjoy na amani na utulivu, Wabunge wote, Wana CCM wote, Watanzania wote popote ulipo hashtag yetu iwe ‘Nasimama na Mama”


#Wana Tabora nyumba za udongo ni saizi yao!
Msomi huyu!
 
Kwamba wameona wamshukuru tu sasa maana hakuna namna 😀
Wamepata nyumba za tembe[udongo], wamepata barabara za udongo, watoto wanasoma shule za kata bure, watoto wamefutiwa NHIF .
Takwimu ya 2020 ilionyesha ya kwamba chini ya nusu ya wakazi walikuwa na maji safi. Sehemu kubwa ni kutoka visima na wakati wa ukame maji huwa haba. Kuna hatari kubwa ya maji kuchafuliwa. Watu wengi hawana vyoo wala nafasi za kuacha takataka.

Kuna hospitali mbili: moja ni hospitali ya wilaya upande wa serikali na nyingine ni hospitali ya Ndala iliyoko chini ya kanisa katoliki. Kuna sahanati 4 za serikali na 1 ya kanisa katoliki. Kliniki 29 ziko chini ya serikali, 3 za watu binafsi na mbili za kanisa.

Huduma za afya hazitoshi ni chache kulingana na idadi ya watu. Tatizo kubwa ni hali mbaya ya chakula na wakina mama wengi kiasi wanakufa wakati wa kuzaa.
 

“Wananchi wa Nzega Vijijini walishatoa msimamo Mh. Rais alipotembelea pale kwamba hawana la kuomba zaidi ya kumshukuru Rais “

Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla amewataka Watanzania wote popote walipo kutumia hashtag ya ‘Nasimama na Mama’ wanapoweka picha zao au machapisho mengine mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni sehemu ya kuonesha kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na Rais wa Tanzania-Samia-Suluhu Hassan. View attachment 2968073View attachment 2968074

‘Nasimama na Mama’ na hii ni kwasababu Rais Samia anafanya kazi nzuri” “ Rais Samia amechukua Nchi kwenye kipindi kigumu na kaisimamisha Nchi vizuri kwahiyo lazima tufurahi, unaenjoy na amani na utulivu, Wabunge wote, Wana CCM wote, Watanzania wote popote ulipo hashtag yetu iwe ‘Nasimama na Mama”


#Wana-Tabora nyumba za udongo ni saizi yao!
Atuambie kipindi kigumu kivipi kulikuwa na vita!
 
Hawa wajinga sijui wanatuloga na hili li mwenge lao

Kwa io nzega hawana shida yoyote wao wako safi ni kumshukuru mama tu sio?
 
Nzega ukiiangalia tu ni huzuni kweli wakusema hivyo huyu baba jamani
 

“Wananchi wa Nzega Vijijini walishatoa msimamo Mh. Rais alipotembelea pale kwamba hawana la kuomba zaidi ya kumshukuru Rais “

Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla amewataka Watanzania wote popote walipo kutumia hashtag ya ‘Nasimama na Mama’ wanapoweka picha zao au machapisho mengine mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni sehemu ya kuonesha kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na Rais wa Tanzania-Samia-Suluhu Hassan.

Pia soma Hamis Kigwangalla: Ukiposti kitu chochote Mtandaoni weka na Hashtag ya 'Nasimama na Mama'

View attachment 2968073View attachment 2968074

‘Nasimama na Mama’ na hii ni kwasababu Rais Samia anafanya kazi nzuri” “ Rais Samia amechukua Nchi kwenye kipindi kigumu na kaisimamisha Nchi vizuri kwahiyo lazima tufurahi, unaenjoy na amani na utulivu, Wabunge wote, Wana CCM wote, Watanzania wote popote ulipo hashtag yetu iwe ‘Nasimama na Mama”

#Wana-Tabora nyumba za udongo ni saizi yao!
Wananchi wa nzega, haya ndio mliomtuma mbunge wenu?
 
Back
Top Bottom