Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wao hawajui majukumu ya mbunge!Wananchi wa nzega, haya ndio mliomtuma mbunge wenu?
Ni kikosi kazi kimesukwa kwa kazi hiuyo ili mpaka 2025 fomu itolewe moja na waseme bila mama tusingekuwa hai.Muhuni huyo!
THey dont care.
Kama si wiz basi Wakimpa tena kura huyo mjinga na tuwaache wafe maana watakua mataahira haswa wasiostahili haki yoyote bali mateso tu.THey dont care.
Kofia, kanga na kitenge wanampa tena.Kama si wiz basi Wakimpa tena kura huyo mjinga na tuwaache wafe maana watakua mahara haswa wasiostahili haki yoyote bali mateso tu.
Ndo utaahira wenyewe huo kupokea hongo za kiasiasa. Mimi naichukia CCM na wafuasi wake wote kuanzia Raisi mpaka raia maana wanaturudisha nyuma sana.Kofia, kanga na kitenge wanampa tena.
Kama wewe ni mwana-nzega ndilo mlilomtuma !Hamis acha uchawa, ongea ukweli - Nzega hatuna shida kweli?
Na Nzega yenyewe ni vijijini, Nzega Mjini yupo Bashe.Nzega ukiiangalia tu ni huzuni kweli wakusema hivyo huyu baba jamani
Huko nzega jinsi kulivyo? Nawaonea huruma wananchiWengi wao hawajui majukumu ya mbunge!
Hujaona zaidi ya 3/4 ya wabunge wapo kuitetea serikali badala kuihoji na kuiwajibisha?
Nikajua ni kuzuri na kila kitu kipo na hospitali madaktari ni wengi kuliko wagonjwa!Huko nzega jinsi kulivyo? Nawaonea huruma wananchi
Wanakufuru sasa!Ni kikosi kazi kimesukwa kwa kazi hiuyo ili mpaka 2025 fomu itolewe moja na waseme bila mama tusingekuwa hai.
kabisa, ukiacha mpina wengine ni fyuuuWanakufuru sasa!