Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .
Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo