Kigwangalla autaka uongozi mpya wa Simba kuonesha Bil 20 alizoweka Mo Dewji

Kigwangalla autaka uongozi mpya wa Simba kuonesha Bil 20 alizoweka Mo Dewji

Kama wewe ni shabiki wa Simba, na unaona kigwangwala anakosea, basi elewa ni mbumbumbu wa kiwango cha mwisho kabisa.
Mi sijaelewa anataka waoneshe zilipo kiaje?
Wataje benki zilipo? Wanaweza ropoka tu CRDB na tusiweze confirm.

Wataje account number? Hatuwezi confirm pia.


Wakazichukue Benki wazilete kwenye Press wamebeba kwenye magunia? Ili iweje.

Anataka waoneshe kwa namna gani?
 
Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .

Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
Bilioni 20 zipi tena! Timu imechukua ubingwa mara 4 mfululizo, imeingia robo fainali klabu bingwa, imewasajili akina Chama!! Wachezaji wanaliowa mishahara!!

Imepelekwa Dubai katikati ya msimu! Hizo ndiyo bilioni 20 zenyewe! Ukihoji zaidi ya hapo, utaishia tu kitukanwa.
 
Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .
1675077987513.png
 
Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .

Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
MO atajuta kumnyima Kigwa zile pikipiki.

Bilion 20 zitamtoa kamasi this year
 
Vitu vingi kwenye chama chake vinaenda kihuni mbona yupo kimya ingekuwa anapambania haki basi angekuwa mstari wa mbele kuongelea madudu ya chama chake otherwise ni chuki tu binafsi.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .

Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
Kutoka Nzega.. Nje ya Box
 
Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .

Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
MO ni tapeli aliyechangamka kama matapeli wa ccm. ile kutekwa kwake inawezekana magu alikuwa sawa huyo MO ni muhujumu nchi
 
Back
Top Bottom