Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Kocha amerudi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Hao wachezaji unaotaka Simba iwasajili wana kipi cha maana walichofanya kwenye timu zao?Kigwangala Yupo sahii sana.
Mimi ni shabiki wa Simba Kindaki ndaki.
Hivi una Bilioni 20
Hakuna kitu chochote limefanyika Cha maana.
Hata usajili wenyewe ni shida.
Adebayor.
Manzoki.
Azizi Ki.
Bambala.
Simba inaendelea kuokota okota akina Okwa, Dejan Kapama, kanute nk.
MO NI MUONGO SANA.
Mtu akitoka kijijini hana haki ya kuhoji?Katika watu ambao siku zote nimekuwa na wasiwasi kama ukijijini umewatoka huyu ni mmoja wapo. Simba hawana mashabiki wa hivi, huyu kaijua Simba ukubwani.
Ila huyu jamaa ni mhuni sana hio cheque ni ya bank gani?
Naunga mkono hoja. Hawa ni Madaktari aina ya Babutale.Katika watu ambao siku zote nimekuwa na wasiwasi kama ukijijini umewatoka huyu ni mmoja wapo. Simba hawana mashabiki wa hivi, huyu kaijua Simba ukubwani.
Sina shida na wanaotoka vijijini. Shida yangu ni wale wenye mawazo na fikra za vijijini na zile zilizopitwa na wakati na kuzileta mijini.Mtu akitoka kijijini hana haki ya kuhoji?
🤣🤣🤣Hivi kwani hela za hisa zinawekwa kwenye Akaunti za Klabu?
Nadhani Uwekezaji ni Biashara, siyo Charity
Kigwangala kama anaitaka Simba aende Mamlaka ya Mitaji na Hisa(CMA) alipe Bil.20 za Mo achukue umiliki wa Klabu ya Simba
Mo, kama Abramovich alivofanya Chelsea, au akina Glazers wanavofanya sasa Man U, hawezi kupoteza hela yake
Ndimi Mwananchi Mwaminifu, Forward Forever
Aziz Kiiiiiiiiiiiiiii, Manula haamini
Hakuna tofauti kabisaNaunga mkono hoja. Hawa ni Madaktari aina ya Babutale.
Aziz Hana maajabu labda hao wengine.Kigwangala Yupo sahii sana.
Mimi ni shabiki wa Simba Kindaki ndaki.
Hivi una Bilioni 20
Hakuna kitu chochote limefanyika Cha maana.
Hata usajili wenyewe ni shida.
Adebayor.
Manzoki.
Azizi Ki.
Bambala.
Simba inaendelea kuokota okota akina Okwa, Dejan Kapama, kanute nk.
MO NI MUONGO SANA.
Akikusikia Manula atakuwamba makofiAziz Hana maajabu labda hao wengine.
Inatokea tu mara Moja Moja mchezaji wa kusubiri kupiga Mpira wa adhabu sioAkikusikia Manula atakuwamba makofi
[emoji38][emoji38][emoji38]Ila huyu jamaa ni mhuni sana hio cheque ni ya bank gani?
Kigwa...anafanya vyema kuhoji hili.....Dkt Hamis Kigwangwala , Mbunge na Mwanachama wa Simba , ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uonyeshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .
Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
Na kule Tunisia vipi? Simba kawapiga mara 3 nayo ni mara moja moja?Inatokea tu mara Moja Moja mchezaji wa kusubiri kupiga Mpira wa adhabu sio
Ha ha ha ni zaidi ya mhuni.Ila huyu jamaa ni mhuni sana hio cheque ni ya bank gani?