Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Mi sijaelewa anataka waoneshe zilipo kiaje?Kama wewe ni shabiki wa Simba, na unaona kigwangwala anakosea, basi elewa ni mbumbumbu wa kiwango cha mwisho kabisa.
Aliyekwambia ni Check nani?Ila huyu jamaa ni mhuni sana hio cheque ni ya bank gani?
Bilioni 20 zipi tena! Timu imechukua ubingwa mara 4 mfululizo, imeingia robo fainali klabu bingwa, imewasajili akina Chama!! Wachezaji wanaliowa mishahara!!Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .
Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
Bilionea wa MchongoKigwangala Yupo sahii sana.
Mimi ni shabiki wa Simba Kindaki ndaki.
Hivi una Bilioni 20
Hakuna kitu chochote limefanyika Cha maana.
Hata usajili wenyewe ni shida.
Adebayor.
Manzoki.
Azizi Ki.
Bambala.
Simba inaendelea kuokota okota akina Okwa, Dejan Kapama, kanute nk.
MO NI MUONGO SANA.
Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .
Mwambie huyo kigwangala aweke yeye hizo billion 20Kama wewe ni shabiki wa Simba, na unaona kigwangwala anakosea, basi elewa ni mbumbumbu wa kiwango cha mwisho kabisa.
Naona mkuu wa mkoa kapewa fungu lake hapo.
MO atajuta kumnyima Kigwa zile pikipiki.Dkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .
Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
Yaani wewe uliekiulizia jinsi ya kupata vocha ya bure ndio uwe na hadhi kumzidi kigwangalah? Jamii forum ina watu wanaochekesha mnoKigwangala hana hadhi ya kujadiliwa na mimi. Nakaa mbali
Jifunze kwanza kuandika vizuri na kujenga hoja. Ukihitimu uje tujadiliYaani wewe uliekiulizia jinsi ya kupata vocha ya bure ndio uwe na hadhi kumzidi kigwangalah? Jamii forum ina watu wanaochekesha mno
Angalia kuanzia jina na hiyo picha kwenye profile yako ni ya wanaume wenzio hivi hauoni kama wewe kichwani kuna hitilafu?Jifunze kwanza kuandika vizuri na kujenga hoja. Ukihitimu uje tujadili
Lete ya bibi yako na yeye tumuweke profileAngalia kuanzia jina na hiyo picha kwenye profile yako ni ya wanaume wenzio hivi hauoni kama wewe kichwani kuna hitilafu?
Kutoka Nzega.. Nje ya BoxDkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .
Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo
MO ni tapeli aliyechangamka kama matapeli wa ccm. ile kutekwa kwake inawezekana magu alikuwa sawa huyo MO ni muhujumu nchiDkt Hamis Kigwangalla, Mbunge na Mwanachama wa Simba, ameuomba uongozi mpya utakaoingia madarakani kwenye uchaguzi unaoendelea kwenye Club ya Simba , Uoneshe zilipo Bil 20 zilizowekwa na MO .
Amesema jambo hilo ni muhimu sana likafanyika ili kuondoa sintofahamu iliyopo