Who is next? Katelephone? Wameanza na kumpora Ekari 100 kwanza ambazo wanadai alichukua alafu haziendelezi alafu next step wanakwambia subiri uoneAlitakiwa aiweke hii pattern wazi, ili Wananchi tupambane nayo. Asiseme mtu
Asilaumu technology huku ujinga wanafanya na ujuha mkubwa hivyo wananataka wasiumbuliweKupitia X (zamani Twitter), Anaandika Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini
Hivi baada ya a very carefully planned and executed mission ya kumuangusha Mhe. Gekul na Ndg. Chongolo, unaweza ku-guess anayefuata ni nani?
Competitive intelligence imejikita kwenye kujua kitakachotokea kabla hakijatokea (fore knowledge).
Tunaishi kwenye dunia ya ushindani mkali, dunia ya mashambulizi makali ya kiteknolojia - je, tuko aware? Ama tunapigwa halafu tunajifunza baada ya kupigwa? Tunaanza kujadili matokeo?
Niliandika hapa juzi kuwa, kwenye uwanda wa siasa kuna mambo mengi sana yanaweza kutokea, na kwamba siyo lazima yawe halisi ama kweli; yanaweza kutokea kwa kupangwa (kama yale yaliyonikuta mimi, ama haya ya Gekul na Chongolo) na ama hata kwa ajali tu!
Kuna pattern naiona. Sijui kama na wewe unaiona! Kuna victims wengine wanakuja. Tafakari! Chukua hatua.
Gekul anaonekana shetani, katili, jambazi asiye na ubinadamu hata kidogo ndani yake, sababu kiukweli kitendo cha namna hiyo hakifai wala hakifikiriki!
Vipi ukijua ukweli kwamba kijana hakuwekewa chupa, utasemaje? Pengine Gekul acted too naively, Pengine amejiweka kwenye mazingira ya kushughulikiwa na hatimaye kupata hukumu ya jamii. Pengine.
Kwa mwanasiasa na kiongozi mkubwa, hukumu ya jamii inatosha kukupotezea sifa ya kuwa kioo cha jamii, haijalishi tuhuma ziwe halisi ama ama uzushi. Moja ya somo kubwa la uongozi tunalopata.
Somo lingine ni kuwa; mitandao ya kijamii ina nguvu sana. Ikitumiwa vibaya na watu wenye nia mbaya inaweza ikaangusha dola, achilia mbali kuangusha mtu mmoja mmoja.
Somo lingine: wanaCCM tuamke sasa, kazi imeanza. Vita vya kisiasa vinapiganwa huku sasa hivi. Kumekucha!
View attachment 2829996
View attachment 2829997
Na amekuwa kimya sana siku hizi. Si ajabu ana mengi ya kusema….Who is next? Katelephone? Wameanza na kumpora Ekari 100 kwanza ambazo wanadai alichukua alafu haziendelezi alafu next step wanakwambia subiri uone
Yani kuna muda unaweza kushangaa akili za viongozi.Tena anaona raha hicho anacho kiongea.
Mpuuzi sana huyu baba.
Tena walio wachafu wana matumbo makubwa waliyoyapata baada ya kujitenga na usafi.kuhusu rushwa, uadilifu na udanganyifu wa viongozi, hakuna kiongozi wa CCM aliye msafi, narudia tena, aliye msafi!
Ushaambiwa ni Vita ya kisiasa Mzee wahuni sio watu, usicheze na wahuni watakutoa kwenye reliNikuulize bwana Daktari wa nzega, why Gekul? What is so special na Gekul atengenezewe hili zengwe akose ubunge wake?
Duuuh hii sio ngeni hii ni mpya emu ongeza nyamaKwamba hata unyanyasaji tunaoambiwa Gekul alimfanyia aliyekuwa mumewe, pia ulipangwa?
Huyu Kigwangala sijuhi ana nia gani kwa wananchi wa kawaida. Anatetea hata kile alichokifanya Gekul. Kwamba mwanchi akilalamika ni uongo hisipokuwa kila asemalo kiongozi ndio ukweli. Sishangai, kuna viongozi aina yake walidai Lissu alijipiga risasi ili apate political milage na baadhi ya wajinga wakamini hivyo.Kupitia X (zamani Twitter), Anaandika Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Nzega Vijijini
Hivi baada ya a very carefully planned and executed mission ya kumuangusha Mhe. Gekul na Ndg. Chongolo, unaweza ku-guess anayefuata ni nani?
Competitive intelligence imejikita kwenye kujua kitakachotokea kabla hakijatokea (fore knowledge).
Tunaishi kwenye dunia ya ushindani mkali, dunia ya mashambulizi makali ya kiteknolojia - je, tuko aware? Ama tunapigwa halafu tunajifunza baada ya kupigwa? Tunaanza kujadili matokeo?
Niliandika hapa juzi kuwa, kwenye uwanda wa siasa kuna mambo mengi sana yanaweza kutokea, na kwamba siyo lazima yawe halisi ama kweli; yanaweza kutokea kwa kupangwa (kama yale yaliyonikuta mimi, ama haya ya Gekul na Chongolo) na ama hata kwa ajali tu!
Kuna pattern naiona. Sijui kama na wewe unaiona! Kuna victims wengine wanakuja. Tafakari! Chukua hatua.
Gekul anaonekana shetani, katili, jambazi asiye na ubinadamu hata kidogo ndani yake, sababu kiukweli kitendo cha namna hiyo hakifai wala hakifikiriki!
Vipi ukijua ukweli kwamba kijana hakuwekewa chupa, utasemaje? Pengine Gekul acted too naively, Pengine amejiweka kwenye mazingira ya kushughulikiwa na hatimaye kupata hukumu ya jamii. Pengine.
Kwa mwanasiasa na kiongozi mkubwa, hukumu ya jamii inatosha kukupotezea sifa ya kuwa kioo cha jamii, haijalishi tuhuma ziwe halisi ama ama uzushi. Moja ya somo kubwa la uongozi tunalopata.
Somo lingine ni kuwa; mitandao ya kijamii ina nguvu sana. Ikitumiwa vibaya na watu wenye nia mbaya inaweza ikaangusha dola, achilia mbali kuangusha mtu mmoja mmoja.
Somo lingine: wanaCCM tuamke sasa, kazi imeanza. Vita vya kisiasa vinapiganwa huku sasa hivi. Kumekucha!
View attachment 2829996
View attachment 2829997