Kigwangalla: Baada ya mipango mizuri iliyotengenezwa kumuangusha Gekul na Chongolo, nani anafuata? Kuna wengine wanakuja!

Hivi huyu jamaa ni dokta kweli au aliununua udaktari wake?

Gekul hicho alichofanya kama kafanya kweli kutolewa kwake huo Unaibu Waziri ni tatizo la nani?

Chongolo ana sababu zake za kujiuzuru,yeye dokta fekero alitakaje?
 
Who is next? Katelephone? Wameanza na kumpora Ekari 100 kwanza ambazo wanadai alichukua alafu haziendelezi alafu next step wanakwambia subiri uone
Naiona ile kashfa ya kuchepuka na mke wa tumbili ikiipuliwa tena sasa hivi iko jikoni kuongezewa virutubisho. Hata ile ya vitenge imerudishwa studio kufanyiwa remix
 
Wewe mwandishi acha sheria ifuate mkondo wake.
Hivi leo ukiulizwa mume wake na Pauline yuko na mke wake au lah! Uta kuwa na jibu? Ukiulizwa kwanini mume amkimbie mke una jibj? Basi kabla ya kuamua kuwa wakilk wa mtu, tafuta kwanza historia yake.
Hebu tuwekee ukweli wote tumsute mleta post.
 
Naiona ile kashfa ya kuchepuka na mke wa tumbili ikiipuliwa tena sasa hivi iko jikoni kuongezewa virutubisho. Hata ile ya vitenge imerudishwa studio kufanyiwa remix
Wanayapika kwamba Gekul na Katelephone is something because you understand uptown there,
 
Kigwangala yuko sahihi, hata CDM walimudhoofisha zitto kwa njia za mtandao mwisho mpasuko uliingia
 
Huyo Kigwa kashaona upepo hana tena...kaamua aje na hili..
 
Wakati mwingne tuwe tunatulia Tu.FIELD MASHAL FIDEL CASTRO aliruka mitego ZAIDI ya 600 ya Kutaka kupotezwa.hv kwa afrika MTU kama ana Nia mbaya na ww utaruka mingapi jamani.tutende mema tunapopewa nafasi na tuwatumikie raia.sio tukitumbuliwa tunatafuta justification za kujifichia KUWA tunachafuliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…