Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Tarehe 17 March, 2021 kitu chenye ncha kali kilishushwa kwa vichwa vyao, hadi leo wamechanganyikiwa, hawajakaa sawa bado! It will take time for them to recover completelyKumbe zamani kilikuwa kwa washamba???
Wanatapatapa tu, wameshauriwa wakaanzishe chama chao wapambane uchaguzi wa 2025, maoga kama makunguruChama kilikamatwa na mshamba kutoka ziwa akataka kuwapa adabu watu wa mjin
Aliogopa kibano cha JiweMpuuzi huyu, mbona hakuwahi kusema kama kimetekwa?
Subiri na huyu muda wake ukiisha wataanza kusema kichama kimerudi mahali pakeAliogopa kibano cha Jiwe
Hawawezi, Lowassa na Sumaye walijaribu lakini wapiWanatapatapa tu, wameshauriwa wakaanzishe chama chao wapambane uchaguzi wa 2025, maoga kama makunguru
CCM lolote linawezekana Chief, ona jinsi wanavyompotezea mwenzao Sabaya as if walikuwa hawashangilii humu wakati anafanya ujambazi wake, Mahakamani huoni hata kijani moja.Subiri na huyu muda wake ukiisha wataanza kusema kichama kimerudi mahali pake
CCM ni genge la wahuni tupuCCM lolote linawezekana Chief, ona jinsi wanavyompotezea mwenzao Sabaya as if walikuwa hawashangilii humu wakati anafanya ujambazi wake, Mahakamani huoni hata kijani moja, Hakuna hata anayeitisha press kujaribu kumtetea, wote wanajifanya kujitenga na matendo yake! Wote ni mapambio kwa Mkiti! Wanafiki wachache ambao wameporwa ulaji wamebaki kutukana mitandaoni kwa Ids fake
Ndevu tu hizo Bwashee, akizitoa anakuwa "Baby Face"Kigwangalla anazeeka kwa unafiki.
Ukimsimamishs Kigwangalla na Prof Kapuya, Hamis ni mzee uso umechoka sana!