Aseeeee!View attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseeeee!View attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
Kwani chama kiliporwa na nani Magufuli, Pole pole, Bashiri Au Kheri James?View attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
Huyu jamaa ziro brain sana. Sijui ccm huwa wanamwamini kitu gani hadi wanampa na uwaziriView attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
Hao watatu wa kwanza itakuwaKwani chama kiliporwa na nani Magufuli, Pole pole, Bashiri Au Kheri James?
Ni kweli kilienda mikononi mwa watu wasiokijua na wapuuzi watupuView attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
Manka!...🖕🖕🖕
Sasa wache ashangae atakavyotemwa ubunge come 2025.View attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
Mkuuu! Mbona hivyo? Prof Kapuya ana miaka karibia 80 unasema anaonekana kijana kuliko Com Kigwangala mwenye miaka 43?Kigwangalla anazeeka kwa unafiki.
Ukimsimamishs Kigwangalla na Prof Kapuya, Hamis ni mzee uso umechoka sana!
🖕🖕🖕Manka!
Manka!
Kigwa Don, hawezi kutemwa Ubunge! Wenye hatihati ya kurudi bungeni ni wale waunga juhudi, Sidhani kama watapata upendeleo waliopewa 2020 ifikapo 2025Sasa wache ashangae atakavyotemwa ubunge come 2025
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
🖕🖕🖕Manka!
Kama chama kitaamua kuwabeba watarudi tu.Kigwa Don, hawezi kutemwa Ubunge! Wenye hatihati ya kurudi bungeni ni wale waunga juhudi, Sidhani kama watapata upendeleo waliopewa 2020 ifikapo 2025
Manka milele na milele yote!
Huyu Kigwa mnafiki sana wakati wa Jiwe alisema chama kimerudi kwa wananchi. Sasa hivi je??View attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
😅😅😅😅No comment!! Maana siyo vizuri kulimwa ban ukubwani na moderators wa kisasa.
Kuna wajinga wametumwa kusema mchuano wa siasa ni kati ya washamba na masharobaro wa mjini. Yote kupotosha wanaharamu fisadi wapite.Chama kilikamatwa na mshamba kutoka ziwa akataka kuwapa adabu watu wa mjin
Kabla sijastafu CCM itakuwa ishatoka madarakaniView attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?