Ni ajabu Sana,hamisi_kigwangalla
SEKRETARIETI ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapindunzi (CCM), ikiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi @daniel_godfrey_chongolo jana imehitimisha ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 na kuimarisha Chama mashinani katika mikoa ya Kagera, Geita, Kigoma, Katavi na Tabora. Pichani wajumbe wa Sekretarieti hiyo wakizungumza katika kikao cha majumuisho mkoani Tabora. Kwa hakika Chama kimerudi kwa wenyewe. CC: Komredi @shaka_hamdu_shaka. #HK #KaziIendelee #SiasaNiVitendo
View attachment 2021524
View attachment 2021525
View attachment 2021526
My take: Kwani Chama kilitekwa?
Watu wasahaulifu,
Chama kilioza mikononi mwa hao anaowaita wenye chama, kikadharauliwa na jamii yote ya watanzania
Wanachama hawakuweza Tena kuvaa kofia za CCM mitaani
Yule mwamba amekichukua chama kikaheshimika, kura zote kwa CCM, ingawa wasiopenda kukiri wanatangaza kura kuibiwa! Tushawazoea!
Lakini anyway chama kweli kimerudi kwa wenyewe!
Subiri tuone 2025 watu wakinyang'anywa majimbo yao