Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Acha kujipendekeza 😡Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Amejitahidi sana KUMPAMBA MAMA na Kumponda MwendazakeHizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Huwa anatoa kafara kubwa kubwa uyo
Nitamshangaa sana samia akimrudisha kigwangala ambaye magufuli alishamtaja kuwa alikuwa mfujaji wa mali za umma na kutumia ndege za serikali kuwasafirisha makahaba zake kuvunja sheria za nchi kwa kuwadhalilisha maafisa wanyama pori kujipatia mali kiujanja ujanja. NkHizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ina maana nchi hii hakuna watu wapya wanaofaa kushika hizo nafasi, mpk iwe ni kama circle. Kigwangalla tena?🙊Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kwa nani kwa mfano?Acha kujipendekeza 😡
Sio huyu aliyewarusha watu kichura?Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Rais amesena wote waliotajwa na CAG wachukuliwe hatua za kisheria. Sasa Tena Kigwangala awe Waziri, a big NOHizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Nini tofauti ya tafsiri ya maneno team na gang kwa lugha rahisi ya kiswahili?yote
Mkuu sasa unatupa tetesi au habari za Mangi Kileo!!Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.
Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.
Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.
Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!