Tetesi: Kigwangalla kuwa Waziri mpya wa Afya, Dr. Gwajima kwenda Jinsia, Wanawake, Wazee na Watoto!

Tetesi: Kigwangalla kuwa Waziri mpya wa Afya, Dr. Gwajima kwenda Jinsia, Wanawake, Wazee na Watoto!

Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Acha kujipendekeza 😡
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Amejitahidi sana KUMPAMBA MAMA na Kumponda Mwendazake
20211207_144841.jpg
 
Ina maana Nchi ina uhaba wa Wanaotosha kupewa kazi ama?.

Any way acha tutumaini kuwa hizi ni tetesi tu....otherwise kina Dokta Year wakae standby.
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Nitamshangaa sana samia akimrudisha kigwangala ambaye magufuli alishamtaja kuwa alikuwa mfujaji wa mali za umma na kutumia ndege za serikali kuwasafirisha makahaba zake kuvunja sheria za nchi kwa kuwadhalilisha maafisa wanyama pori kujipatia mali kiujanja ujanja. Nk
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ina maana nchi hii hakuna watu wapya wanaofaa kushika hizo nafasi, mpk iwe ni kama circle. Kigwangalla tena?🙊
 
Ona sasa kihelehele chako kitasababisha kigwangala wa watu aukose kabisa uwaziri wa afya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wabunge wote wa CCM zaidi ya 300 wa majimbo na wakuteuliwa hakuna wengine ambao wanafaa kushika au kuteuliwa nafasi hizo.mpaka warejedhwe Tena hao walioachwa,kuachwa kwao no ishara kuwa viatu,havikuwatosha.PHD zote wanazopata weheshimiwa.Acheni kufanya kampeni za kuwarudisha walioachwa na mama SSH akifanya hivyo watamwangusha hawa wasaidizi wake.
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Sio huyu aliyewarusha watu kichura?
Sio huyu aliyefunga geti la wizara?
Kwani Tanzania Ina uhaba wa watu kivile?
Sio huyu alikua anatumia fedha za umma bila maandishi mwishowe katibu mkuu akamuumbua?
The guy is fake
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Rais amesena wote waliotajwa na CAG wachukuliwe hatua za kisheria. Sasa Tena Kigwangala awe Waziri, a big NO
 
Hizi tetesi zimesikika hapa Sanya juu kwenye tukio kubwa la kumsimika Chifu wa Siha Mangi Kileo.

Viongozi mbalimbali wa serikali wapo hapa hivyo tetesi kama hizi siyo za kupuuza.

Mangi Kileo ni miongoni mwa wasomi WANNE wa kwanza wa Tanzania kugraduate Makerere akiwemo pia mzee Cleopa David Msuya.

Mangi Kileo amehudumu serikalini katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambayo Kigwangalla alipata kuhudumu pia.

Lisemwalo lipo kama halipo laja.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mkuu sasa unatupa tetesi au habari za Mangi Kileo!!
 
Back
Top Bottom